Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Mpaka hapa pep kashafeli ,uefa haiwezi kabisa
Yaan hii city ndo nn sasa khaaah, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tunataka kupita tu sio kushinda
Duuuuh tukitulia tunaweza kufurahi soon.
Daaah! Sasahivi unatupa stori tofauti kabisaMashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!
Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!
Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!
Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!
This is our city
Hamna chakusema kuupiga mwingi wala nini kipigo ni kipigo tu [emoji23]Itoshe kusema, Man City mmeupiga mwingi
Mkuu nimepitia comment zako, huyu Pain killer ulimwambia kila kitu tangu mwanzo kwamba mtapigwa lakini hakusikia na ndio kimetokea.Sasa Kijana si utajifunza kuwa UCL ina wenyewe?
Sasa vile vijimaneno vyako sijui Pressing, sijui buildup na takataka nyengine ulidhani kweli vitakusaidia umtoe Madrid?
Unajua hata ile invincible ya Arsenal haikufurukuta UCL badala yake 2005 akabeba Liverpool ya kina Luis Garcia na Milan Baros? Unajua kwanini?
UCL ina wenyewe! Pep angekuwa yupo Liverpool nakuhakikishia muda huu angekuwa na UCL 4 kamili.
Lakini kwa Man City ataendelea kuwa underdog siku zote kwenye UCL.
Hope next season utajifunza kunyamaza.
Kuna tatizo gani hapa mpaka utukane. Mpira ni furaha na kinyume chake piaHuna akili kabisa
Usitulutee mahubiri jambo la umuhimu ni kwamba jana mmegongwa 3 basi.Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!
Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!
Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23]!
Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!
This is our city
3-1 alaf unajifariji ulimzidi kila kitu we jamaa unajielewa kweli , kule Etihadi na penyewe ilikuwa balaa tupu , vitoto vyenu vilichoka mbio ndefu haviwezi , .....Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!
Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!
Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!
Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!
This is our city
Uyo Jamaa alikata pumzi,Saiv mtupe mrejesho tu kuhusu Kyle walker kavunjika nini? Luisi au bandama?
Na mwendo kaumaliza[emoji16]Itoshe kusema, Man City mmeupiga mwingi
Kapata kipigo heavy[emoji4]Hamna chakusema kuupiga mwingi wala nini kipigo ni kipigo tu [emoji23]
Maalim anakusalimiaMashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!
Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!
Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!
Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!
This is our city
Sasa Kijana si utajifunza kuwa UCL ina wenyewe?
Sasa vile vijimaneno vyako sijui Pressing, sijui buildup na takataka nyengine ulidhani kweli vitakusaidia umtoe Madrid?
Unajua hata ile invincible ya Arsenal haikufurukuta UCL badala yake 2005 akabeba Liverpool ya kina Luis Garcia na Milan Baros? Unajua kwanini?
UCL ina wenyewe! Pep angekuwa yupo Liverpool nakuhakikishia muda huu angekuwa na UCL 4 kamili.
Lakini kwa Man City ataendelea kuwa underdog siku zote kwenye UCL.
Hope next season utajifunza kunyamaza.
Jr huwa hataki mchezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], yule dogo anaspeed kweli na pumzi ya kutoshaUyo Jamaa alikata pumzi,
Hajavunjika chochote Zaid ya misuli kukaza.
Vin alimkimbiza mno[emoji16]