The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Sio vizuri hivyo
255717498430_status_3bb3e2f240324c0098d638c3482651ca.jpg
 
Yote wameyataka Real Madrid haya , tunaokuja kuumia nini sisi huku kwenye ligi yetu ya Malkia daah , sasa Haaland wa nini tena kwani Gabriel Jesus hatoshi ? [emoji24][emoji24][emoji24]
FB_IMG_1652553923678.jpg
 
imepita Sasa miaka 10 Toka aguero afunge goli lake la maajabu dakika ya 93:20 na kuipa man city ubingwa kwa goal difference mbele ya united ....

Toka may 2012 Hadi may 2022 ni miaka kumi ...

Hili sanamu la aguero limejengwa kama heshima na kumbukizi ya kumuenzi aguero ...

ila kama kawaida Kuna vilaza kutoka Liverpool wao wanasema huyo ni Kross [emoji28]

An way Tunahitaji maadui wengine wengi wanaotuchukia View attachment 2223698
Sasa iangalie hiyo sura ya sanamu na iangalie sura ya Kroose then utajua hiyo sanamu ni ya nani.
 
Back
Top Bottom