The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Goli la kwanza uzembe wa wote kabisa ,mpira unaputa kwa kdb ,rodri ,unamgonga stone ,wayaaaa....


ile corner ni uongo ,cancelo kapigwa ngumi kabisa ,ilitakuwa kuwa faulo ...


Haaaland anatoke aingie Alvarez ila pep hatafanya hivyo ,..

Rodri atoke aingiee gundo ....

Haaland kidogo asababishe red card na mabuti yake yalee ..

Hii game tumepigwa kihalali kabisa ,mbinu zimebuma ....
 
Bado condom moja kwenye pakit

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Vipi Halaand atoke?ujuaji mwingi kuliko kocha
 
Kuna wale wapuuz walikuja kwa mda kuweka kambi hapa naona wamepotea.
#TheCityzens
 
Daaa game ilikuwa ngumu kweli lakin wachezaji walikuwa na utulivu mkubwa mnoo , psychologically tumewawin crystal palace ......!!!!
 
2goal down ,up to 4-2 what a come back [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila city tunatoboka sana yan mechi 2 tumepigwa goli 5 hii so ishara nzuri....all in all pointi 3 kibindoni,,goli 3 kibindoni mwa haaland
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…