The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Inabidi tucheze kwa tahadhari kule nyuma....hizi point sio za kuacha
 
Starting Xl


1.ederson
2.walker
3.cancelo
4.stones
5.Diaz
6.rodri
7.de bruyne
8.gundogan
9.foden
10.bernado
11.haaland

here we go baby
 
Leo Steve g. Atatusamehe kwakweli....tutamuajiri aje hata timu ya watoto kama tukimfukuzisha
 
Daaa tunacheza simple football utafikili tumeshashinda kabisa ,wachezaji wamerelax kabisa ....

Steve g kafunguka kaamua kucheza mpira kiufupi kajiamin hataki kukaa nyuma ....

Hii game inahitaji high pressing na energy ,vinginevyo naiona draw hapa ....

Hatuna hata shot on target ,hatuna hata mashambulizi ya maana ....

Pep sijui kamuogopa Steve g ,maana naona Kama vile kalizika kabisa ,....

Vinginevyo hapa inahitajika individual skills kumaliza hii game ...

Bernado kapoa ,cancelo cross zake hazionekani ,rodri katikati pamemshinda kutawala kabisa ,halaand kakamatwa kweli kweli , Alvarez nataman aingie ...

Wacha tuone kipind Cha pili ....
 
milango ni migumu
Hawa villa wamefunguka aisee ,wameua kucheza mpira liwalo na Liwe yaani hakuna sijui kuvizia counter attack Wala nini ...Sasa hapa akili inahitajika kumaliza hii game ,wachezaji waamke waje na energy kipind Cha pili ...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…