The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kituo kinachofata ni spurz na hicho kituo huwa tuna struggle sana kupata abiria...ila term hii watapanda tu hata kwa lazima
 
Kituo kinachofata ni spurz na hicho kituo huwa tuna struggle sana kupata abiria...ila term hii watapanda tu hata kwa lazima
Spurs huwa wanatuotea aisee ,na wanakuwaga wagumu kweli kufungika ..!

Yaani hapa pep anatakiwa ahakikishe filimbi ya kwanza tu ni high pressing ,running , attacking bila kuchoka ....!

Spurs Kama kawaida yao ni counter ataack hawana mbinu nyingine hivyo basi beki zetu zijipange kweli kweli maana naona wakipata challenge kibao kutoka kwa son & Kane ....!

Spurs sio Kama sisi ,wakifika kwenye goli wapo clinical ,Wana clinical finisher hatari ,yaani kina dias ,stone ,kazi ipo ...

Kinachofanya watufinge spurs ni kupanda sana kwa cancelo na walker kule mbele ,nyuma anabaki stone na dias ,kitu ambacho wanazidiwa wakiwa 1v1 na son &Kane ....
 
Spurs kama Man u, mpira wao dhidi ya Arsenal/ Man city lazima utakuwa transition based, hii inatokana na Arsenal/ City kucheza high line cuz of possession based, Spurs/ Man u wachezaji wao wa mbele wana kasi na pia ni killers in transition, unahitaji kuwa compact in defensive transition au kuwa secured to the extent usiconcede transition Kabisa hapo unaweza kushinda hizi game vinginevyo unapoteza.

I know the likelihood of Spurs winning/ draw is very high siku mkikutana.[emoji1787]
 
Liverpool huko kashapigwa goli mbili na Napoli [emoji23][emoji23][emoji23]ngoma ngumu Sanaa ....

Si aliwaambia wakafanye booking ya hotel maana watarudi fainal [emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kuna tetesi zinasema game za weekend zinaweza kuahirishwa ..japo PL hawajatoa official...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…