The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Baada ya mayowe mengi ,mahrezi kaanza ....waarabu walikuwa washaanza kuwasha moto kwann Mahrez anasugua bench [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo sijui tunacheza utopolo gani ,no energy ,passion , creativity,ni kupiga piga tu mpira [emoji848]
 
Etihad
[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
 
Mahrez na grealish wanatakiwa kujitafakali ,sijui walikuwa wanafanya Nini uwanjan [emoji23][emoji23]
 
Toka Mahrez apate mkataba mpya daa amekuwa useless kabisa ...

Grealish naye anacheza sijui anawaza £100mill aliyosajiliwa [emoji23][emoji23][emoji23]hakuna kitu kabisa ...


Kwa tunapoelekea Mahrez na grealish watakula bench Sanaa ....mpaka watasahaulika ....Alvarez awe anaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…