Cornwallis
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 940
- 853
Mkuu katika CB tulionao ...
Stone ,akanji ,dias ,Laporte na ake maana anaweza kucheza CB na RB sometimes ...hapo beki mwenye utulivu kidogo ni Laporte ,diasi kasha kwisha kabisa [emoji3],stone na yeye ule ndio uwezo wa mwisho usifikili atakuja kuwa na makali zaidi ya pale ......
Kiufupi pep hajawahi kuwa na ukuta mkali ,toka kina otamend ni full kusajili average defender ,labda kwa vile falisafa ya pep ni "attacking" pep hajawahi kufundisha kuzuia ,anafundisha kushambulia na possession tu ,kuanzia beki Hadi forwards ....
Guardiola ni muumini wa falsafa ya " defend the goal by possessing the ball"Mfumo wetu ndio hautaki aina ya mabeki wagumu nadhani hata Huyo gvardiol akija bado yatakuwa yaleyale
Sasa katika kuiishi falsafa hii inahitajika kuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kumiliki mpira kuanzia kipa mpaka striker..
Mabeki wengi anaowasajili pep sio ile aina ya mabeki wagumu ambao wao wanakuwa na performance kubwa pale wanapokaba...
Ukiwaangalia mabeki wetu kama john stones na laporte utagundua ni ile aina ya wachezaji ambao wako "possessing minded " ,wataperfom zaidi pale timu inapokuwa na mpira kwaiyo hawa automatically hawawezi kuwa solid.....
Na Hiyo ndio aina ya mabeki ambao guardiola ataendelea kusajili muda wote atakaokuwa city