Kwa vigezo hivyo sasa hukutakiwa kusema kwamba city wameanza kupata mafanikio mwaka huu kwa sababu uliyolist hapo hakuna geni ata moja kwa City
[emoji460]Kama hyo EFL tumeshachukua sana hii ni mara ya 5 sasa kama sikosei.
[emoji460]Robo final UCL sio mara ya kwanza kuingia tulishaingia tukiwa na Pellegrin msimu wa 2015-16 kama sikosei..
[emoji460]Bingwa uteule siwezi kusemea maana bado huo uteule hatujapewa na haitakua mara ya kwanza kuchukua kombe la EPL
[emoji460]Kufikisha points 100 na zaidi pia siisemei sababu bado hatujafikisha na sina uhakika na hilo kama litatimia
Labda ungesema mwaka huu cty wapo kwenye ubora zaidi ndio ingeleta maana