The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Townsend ana roho mbaya, ule mshuti minyavu tika tika, poleni sana This is EPL.
 
Kiufupi pep. Aliona sana sane alibanwa sana kwenye ile kona yake. Na alitakiwa abadilishe formation. Mahrez nae ile kona ilikuwa ngumu bora sterling alikuwa anawatoka.
 
Kiufupi pep. Aliona sana sane alibanwa sana kwenye ile kona yake. Na alitakiwa abadilishe formation. Mahrez nae ile kona ilikuwa ngumu bora sterling alikuwa anawatoka.
ASANTENI SANA MAN CITY KUNIFARIJI KWA KUFUNGWA KWENU, MAANA SI KWA UBOVU WA TIMU YETU YA CHELSEA ISIYOKUWA NA MASTRIKERS
 
Kumbe wewe ndiye kiongozi wao..maana nilipewa kazi ya kukutafuta nikufunge kamba nikulete huku bahati yako umekuja mwenyewe[emoji3][emoji3]
Nimekuja mwenyewe ila february utatujua wote. Tutapiga wote awe man u awe chelsea.awe liver
 
Back
Top Bottom