The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mimi upande wangu ni kwa sababu ni ligi ambayo nimeiangalia muda mrefu, kwa hiyo najikuta nina mapenzi na EPL automatic. Nadhani pia kwa sababu wanaifanyia promo sana.

So timu zikionesha ushindani katika floor za UEFA nakuwa nafurahi.
Daah safi sana mkuu..... Sababu zako nimezielewa sana kumbe ukiacha mapenzi ya timu pia kuna mapenzi ya Ligi. Me nahisi La liga ndio imeniteka zaidi
 
Daah safi sana mkuu..... Sababu zako nimezielewa sana kumbe ukiacha mapenzi ya timu pia kuna mapenzi ya Ligi. Me nahisi La liga ndio imeniteka zaidi

Yes, mapenzi ya ligi yanakuja kwa sababu unajikuta unataka kuziona timu ulizozoea kuangalia zikipambana.

Mimi La Liga naangalia big games peke yake, bora hata msimu huu competition imekuwa kubwa kiasi tofauti na miaka ya nyuma.

Maana ilikuwa Barca anacheza na Real Betis unajua hapa naenda kuangalia atafunga mangapi, lakini msimu huu timu za chini zinakaza.

Kuna kipindi La Liga imedominate UEFA, unakuta Barca, Real Madrid, Atletico Madrid, Sevilla, Valenci: lazima 3 au 4 zinaingia quarter finals.
 
Daah safi sana mkuu..... Sababu zako nimezielewa sana kumbe ukiacha mapenzi ya timu pia kuna mapenzi ya Ligi. Me nahisi La liga ndio imeniteka zaidi

tatzo la la liga ni ushindani upo chini sana nishawahi angalia mechi kati ya getafe vs eibar mkuuu kwanza washabiki wachache afu mpira umepoa sana utazani mwadui vs lipuli but epl hata iwe west ham vs burney mambo ni moto
 
Liver waliingia kwa kuwaheshimu sana Bayern kama uliona walianza kwa kujilinda zaidi ila kadiri muda ulizidi kwenda wakawa wanawazoea na kuwaona wakawaida na wao kuanza kuucheza sasa.....

Toka game ya kwanza pale Anfield Bayern sikuelewa wanacheza nini na nini malengo yao maana walikua wakipiga pass tu kwenye zone yao bila kufanya mashambuliza ya maana na game ya jana wakafanya vile vile...
Mkuu unaifananisha bayern na manc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatzo la la liga ni ushindani upo chini sana nishawahi angalia mechi kati ya getafe vs eibar mkuuu kwanza washabiki wachache afu mpira umepoa sana utazani mwadui vs lipuli but epl hata iwe west ham vs burney mambo ni moto
Hahah ni kweli kule ushindani upo chini ila kinachonivutia kule ni aina ya mpira wanaocheza, jamaa wanacha mpira burudani sana ukiangalia unaenjoy
 
Hahah ni kweli kule ushindani upo chini ila kinachonivutia kule ni aina ya mpira wanaocheza, jamaa wanacha mpira burudani sana ukiangalia unaenjoy

epl ni mpera mpera hakuna kutulia kwenye kiti😀😀 ila aguero hii lig kaiwezea wengene kasi inawashinda wanaanza vizur msimu wa 3 au nne chali but huyu jamaaa tangu kaza top four kila msim hakosi
 
Back
Top Bottom