The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Jamani tupunguze mihemko lakini, maana Tot.., kumbukeni tutacheza nae mara 3 kwa maana ya kesho hapo kwake ,tarehe 17,Etihad mechi ya marudio, ona sasa tarehe 20 tu tena tutakuwa nae hapo Etihad, hofu yangu ni hii je atakubali kuwa mteja kwa game zote 3 ? Naomba kuwasilisha wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uefa hata akitoa sare moja safi.
Ila ile mechi ya ligi ina umuhim sana tena sana.
Ata goli moja litatosha.
Nachoona inabiidi tupate ushindi io kesho ili wakija etihad tu relax .
Ngoma tuiue mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mechi ingine niya palace tunawafuata kwao je watakubali kugongeshwa au watakomaa watoe droo! ukweli hizi game 2 hizi zina ninyima ucngizi ndo maana naombea Chelsea wafanye ya kufanya hiyo J. pili kwa hao kuku wawanyonyoe kabisa hapo ndipo imani yangu itaongezeka zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua awa kuchi wakijichanganya tu kutoa sare imekula kwao.
Wakifanya hvyo watatupa uwanja mpana sana wa kujiachia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema mechi zote tutashinda. Kwenye Uefa wanaangalia matokeo ya mechi ya mwisho. Kama atashida mechi moja na akaachwa kwa agr.
Mfano mechi yoyote tot akishinda 1 - 0 na mechi ya pili akalala 2 bila,
Haimaanishi kapigwa zote ila hata songa. Huko kwenye uefa hakuna shida saaaana.
Yeah.
Pale magoli kisha tujiachie uwanjan.
Kama izi mechi 3 za mwisho. Ushindi dakika ya 6 kisha tuna save energy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ni kazi lakini amini lazima kuna game atatoa droo lazima.yaani game za hivi karibuni amekuwa akishinda kwa mashaka mashaka sana vigoli vya uongo na kweli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] ni kwel mkuu yan kam ni bahat basi kwao imezidi .
Kama ile game na spurs ndo kabisaaa juzi na southmptm ndo yale yale.
Kibarua chake ni apo na chelsea sema liver yupo anfield

Sent using Jamii Forums mobile app
 
De bruyne says " we don't care if its their new stadium or wembley" if we beat them at wembley 80000 we can do also at 60000 new stadium

Sent using Jamii Forums mobile app
De Bruyne nae makeke yake mi naona ka kapoa vile anyway tunaamini mipango iko sawa hii ni ishara nzuri kuwa washajengwa vizuri ki saikolojia kuondoa hali ya ugenini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0_GettyImages-1139926289.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom