The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

[emoji1] [emoji1] city timu inayochukiwa zaidi ulimwenguni.
Yan tunachukiwa mpaka spain
Mpaka france.
England ndo usiseme.
But this is our age.

We may not take UCL but not other trophies

Mnaji-overate sana kusema mnachukiwa sana Ulaya, kwa kipi!

Yaani watu waache kuchukia Madrid wachukie timu ambayo haiingiagi hata Nusu Fainali?
 
Kocha bora anapimwa kwa style ya akina klopp unaijenga timu yako kisha inakupaisha sio yeye timu inampaisha
Atafundishaje timu isiyoweza ata kuingia top 4?
Uko ni kumdhalilisha pep.
Ni sawa aende arsenal.
[emoji3] [emoji3]
 
Amechukua makombe mengi kuliko kocha wowote ndan ya miaka 7
Kwa hatua aliyoikuta hiyo timu na muda aliokaa hapo ilitarajiwa iwe amechukua UEFA kama mara mbili.Makombe aliyochukua ni yale yale yaliyokuwa yanachukuliwa na akina Manchin na Pelegreen, huyu akipewa timu kama West Ham lazima ishuke daraja!
 
Kati ya hayo makombe kuna timu gani aliyoifundiaha ikiwa nje ya top 4 ikapanda mpaka kunyakua kombe?
Ukitafuta list ya makocha bora au makocha waliochukua vikombe vingi huwezi kumkuta kocha akiwa na timu iliyo nje ya Top four
 
Kwa hatua aliyoikuta hiyo timu na muda aliokaa hapo ilitarajiwa iwe amechukua UEFA kama mara mbili.Makombe aliyochukua ni yale yale yaliyokuwa yanachukuliwa na akina Manchin na Pelegreen, huyu akipewa timu kama West Ham lazima ishuke daraja!
Mwakan tunachukua.
Pep atakuwa kajirekebisha makosa yake madg madg
Mtanyamaza wenyewe nawakikishia
 
Mimi ni mshabiki wa EPL ndiyo maana, nimekuuliza, City imefanya (ina) nini cha kuogopesha Ulaya mpaka tuichukie?

Achana EPL, zungumzia Ulaya.
Unapozungumzia EPL unazingumzia city.
Pia UEFA madogo tu wanahenya wanakosa kiu kabisa.
Hata hvyo kwa njia aliopita liverpool city angeanza kuongoza kundi kupita mpaka final. Jana umejionea mwenyewe walivyobebwa watoto wale.
 
Watoto nimewapenda bure, baada timu yangu kutolewa najipoza na Ajax
Ajax ni wazuri ila mtaikataa kwa spurs.
Labda spurs wasicheze kama walivyocheza na city kwa sabab walitukamia sana,na poch anauhasimu na pep
 
Mimi ni mshabiki wa EPL ndiyo maana, nimekuuliza, City imefanya (ina) nini cha kuogopesha Ulaya mpaka tuichukie?

Achana EPL, zungumzia Ulaya.
Nothing mkuu yani hapo hatuhitaji ata kujiuma uma kujibu swali lako. Linapokuja swala la Ulaya City hatuna uwezo wa kujitokeza mbele na sisi tukapaza sauti
 
Nothing mkuu yani hapo hatuhitaji ata kujiuma uma kujibu swali lako. Linapokuja swala la Ulaya City hatuna uwezo wa kujitokeza mbele na sisi tukapaza sauti
Davet achana na uyu jamaa atupendi.
Mwakan atakakaakimya mwenyewe.
Sisi kinatuponza makosa madogo madogo tu nje ya hapo sisi ndo timu bora kabisa duniani for years
 
Unapozungumzia EPL unazingumzia city.
Pia UEFA madogo tu wanahenya wanakosa kiu kabisa.
Hata hvyo kwa njia aliopita liverpool city angeanza kuongoza kundi kupita mpaka final. Jana umejionea mwenyewe walivyobebwa watoto wale.

Ninachokiongea sicho unachokiongea.

Nafikiri niishie hapo.
 
Ninachokiongea sicho unachokiongea.

Nafikiri niishie hapo.
Mr. Don hebu sema interval yenu ya kuchukua UEFA utagundua inasikitisha pia .
Liverpool imekiwa timu watu kujichukulia ubingwa.
Mmeingia final mara nyingi kuliko mlizochukua..that won't be for city.
Time will tell
 
Yeah ila fainali inaweza ikazihusisha timu za england tu.
Inaweza tokea,, ila kila nkiwaangalia Ajax, wale watoto sijui wametafuna mizizi gani aiseeeeh,, maninaaa zao hawachoki kabisa kiukweli,, alafu kama miguu yao ina 4G ivi, sijui unanielewa mkuu? Ila hawa Spur nao kama nyuki vile ukipiga kelele ndo wanakuja yaaani,, yule SON daah sijui ana kifua cha kugh-fu? Ila timu zote nusu fainali zinachezea mpira
 
Nothing mkuu yani hapo hatuhitaji ata kujiuma uma kujibu swali lako. Linapokuja swala la Ulaya City hatuna uwezo wa kujitokeza mbele na sisi tukapaza sauti

Hiyo ndiyo point nayozungumzia, unaposema eti Ulaya wanakuchukia lazima ibebwe na Facts kwamba ume-achieve.

City ni timu nzuri sana, lakini unahitaji kushinda makombe Ulaya ili watu waiogope na kuichukia kama jamaa anavyosema.

Leo hii City na PSG huwi hata na pressure kubwa ukipangwa nao, tofauti na kupangwa na Bayern, Real Madrid, Barca, Liverpool, Juve etc.

Imagine PSG na ubora aliokuwa nao kakalishwa na Man Utd! Experience Uefa ni kitu kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom