Wewe jamaa 😀😀😀hujajibu chochote kati ya nilivyokuulizaManchester city. Ndio timu bora kwa sasa ulaya io yoyote anajua.
Kwanza ndio timu pekee iliyochukua point 4 kwa liverpool wakat liverpool ilichukua point moja tu.
Liverpool ni bingwa wa knock-outs, ukisema hvyo tuposambamba.
Maana ata wigan alichukua FA ila haimaanishi ndio timu bora England.
Kwa sababu FA nayo inabeba timu aina zote England
Hakuna alieisema man city hadi wewe useme eti hata ikichukua chochote itasemwa tu ila mimi nilikua naongelea wewe kusema mshindi wa uefa sio champions wa europe na hujajibu chochote kuhusu vitu nilivyoongelea
Nachosema ni kua hisia zako usizilete kwenye facts zilizopo mawazo yako hayapingwi lakinihayabadilishi facts.