The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Vile Liverpool walimtuma Lallana aje kuifunga city[emoji16][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Masikin ya Mungu bado watamtuma Steven gerad na villa yake aje kuifunga city,yaani sisi mbwa yeyote atakayekuja mbele yetu ni kumpa kipigo cha mbwa Koko [emoji28] na kutoka anabweka bweeeee bweeeee
 
Mwili sisimizi nguvu tembo ,Brighton walikuwa wanafanya kazi ya kumvuta shati tu .. bernado
mancity-20220420-0005.jpg
 
Liverpool siku zinakuja watalia machozi ya damu huku wakijuta kwanini hawakutufunga etihad wakatuacha pale juu kileleni [emoji28][emoji28][emoji28]
 
23rd, tutakuwa kwenye mazoezi ya viungo na Watford, ili 26th,hawa wazee kina Benzema dawa iwaingie vizuri.
 
Mahrez naona alitakiwa kuwa ndio man of the match ...1 goal + assist ....kDB ana asist tu
mancity-20220421-0001.jpg
 
Six games to go.....!

Lile goli la sterling la offside against Liverpool....[emoji22][emoji22]
mancity_mcfc-20220421-0001.jpg
 
Back
Top Bottom