The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

.
FB_IMG_16722552119518281.jpg
 
Leeds wana tabia ya kuifanya timu pinzani itoke kwenye mfumo wake refer game dhidi ya arsenal,Chelsea Liverpool. Ni wataalam wa kutibua mipango.
Ukiangalia game dhidi ya arsenal kwa mfano, utaona namna walivyoweza kuwafanya arsenal wawe out of possession.
Game ya Leo watakamia tutegemee kuona battle hizi.

Liam cooper vs Haaland

Marc loca vs KDB
Hawa ni wetu kabisa....tunawapakata kuanzia goli 3
 
Hii January tusitegemee chochote,pep kashasema ...

Hakuna vya Jude wala nin [emoji3][emoji848]

Pep Guardiola: “I think we’re not going to sign any player in January, so we're going to finish this way”. [emoji838] #MCFC

“I don’t know what’s going to happen but since I arrived from Abu Dhabi, with Txiki Begiristain and everyone, there wasn’t any name on the table”.
Hakuna timu inayoweza kumpata Jude kwenye hili dirisha dogo..

Plan zote ni next seaoson pep alishasema hata kabla ya WC
 
Kwa fixture zilivyo , guardiola kaona ni vyema aanze kufanya rotation mapema ili isije kuwa bandika bandua.
Uwepo wa Rico lewis nadhani ni faida ule upande wa kulia ili kumuepusha walker na majeruhi ya hapa na pale hasa ukizingatia umri wake.
Ngoja tumuone kama bwana mdogo ata mantain mikiki.
 
Kipa wa leeds amewaokoa wenzake ingekuwa ni mbili au tatu.
Kule mbele pia hatujapata utulivu ,haaland kakamiwa, grealish bado hajawa serious na kazi.
 
Kipa wa leeds amewaokoa wenzake ingekuwa ni mbili au tatu.
Kule mbele pia hatujapata utulivu ,haaland kakamiwa, grealish bado hajawa serious na kazi.
Sio kwamba grealish ndio anampaaisha ,maana grealish sehemu ya kupiga mpira chini kuiingia golin anabutua juu[emoji2][emoji848][emoji848]
 
Kipa wa leeds amewaokoa wenzake ingekuwa ni mbili au tatu.
Kule mbele pia hatujapata utulivu ,haaland kakamiwa, grealish bado hajawa serious na kazi.
Haaland Mtu wa matukio tu kwenye build up haonekani ila akishapata nafasi tunaongea mengine
 
Grealish tulipigwa wanangu [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji848][emoji3060]
 
Hatimae tutoe gundu Kwa hizi jersey [emoji3][emoji3][emoji3][emoji91][emoji91][emoji91]hatujawahi kushinda na hizi jersey kabisa ...
 
Back
Top Bottom