The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

hongereni sana ila jamaa wamewapa shughuli .. ndugu zangu bwawa la maini wakikutana na hawa sijui itakuwaje
 
nimeipenda attacking forward yao ni noma..


article-2190520-149CF97B000005DC-422_634x346.jpg



Agony: Aguero writhes


Mshukuru Dean ooops Webb kwa kuwabeba ... .... .... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na ubingwa mmeshapewa na pundit wa BBC .... ..... ...... .... chacha chijui kwa nini mlienda uwanjani?

 


article-2190520-149CF97B000005DC-422_634x346.jpg



Agony: Aguero writhes


Mshukuru Dean ooops Webb kwa kuwabeba ... .... .... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na ubingwa mmeshapewa na pundit wa BBC .... ..... ...... .... chacha chijui kwa nini mlienda uwanjani?


haya bwan nasikia song kesho anatambulishwa camp nou sijui msimu huu itakuwaje kwenu..

BTW eid mubarak long time no see you mkuu wacha1
 
Sie tutasua sua hivyo hivyo tukiwemo kwenye top 10 tutajidai halafu msimu ukisha tutaendelea kupoteza wacheza wengine kama ilivyo kawaida yetu hivyo kuzidi kupunguza kiwango cha ushindani wa timu yetu hatimaye tutashuka daraja.

Kuna haja ya kuanza kampeni kali sana za kuwashinikiza wale Wamarekani waondoke Gunners vinginevyo wataendelea kuididimiza timu.


haya bwan nasikia song kesho anatambulishwa camp nou sijui msimu huu itakuwaje kwenu..

BTW eid mubarak long time no see you mkuu wacha1
 
haya bwan nasikia song kesho anatambulishwa camp nou sijui msimu huu itakuwaje kwenu..

BTW eid mubarak long time no see you mkuu wacha1

Mkuu chichi hatubembelezi wachezaji hata wakitaka kuondoka wote Wacha waende, watupe mpunga tu tutabaki na wachezaji wanaopenda kuchezea timu yetu sio wanaopenda pesa, wakishapata uzoefu wanaanza kudai mambo ambayo Gunners hawawezi kuwalipa. Huko Spain wanaishia kukaa bila kulipwa kwa miezi kadhaa, subiri utaona matokeo ya hizi timu zinazotegemea ma-sugar daddies. Fukuto la RVP litamwondoa Fungie very soon .... ..... .... ...

BAK usiwe na shaka mwaka jana walisema tutashuka daraja then wenzetu wanategemea kubebwa lakini kila uchwao hawaishi kutuonea Wivu. Prof anaondoa bad apples.

Kumbe leo ni Eid .. ..... .... .. wala chikujua walah ... .. umefaidi pilau Eh! majukumu mkuu.

 
Mkuu chichi hatubembelezi wachezaji hata wakitaka kuondoka wote Wacha waende, watupe mpunga tu tutabaki na wachezaji wanaopenda kuchezea timu yetu sio wanaopenda pesa, wakishapata uzoefu wanaanza kudai mambo ambayo Gunners hawawezi kuwalipa. Huko Spain wanaishia kukaa bila kulipwa kwa miezi kadhaa, subiri utaona matokeo ya hizi timu zinazotegemea ma-sugar daddies. Fukuto la RVP litamwondoa Fungie very soon .... ..... .... ...

BAK usiwe na shaka mwaka jana walisema tutashuka daraja then wenzetu wanategemea kubebwa lakini kila uchwao hawaishi kutuonea Wivu. Prof anaondoa bad apples.

Kumbe leo ni Eid .. ..... .... .. wala chikujua walah ... .. umefaidi pilau Eh! majukumu mkuu.


haya mkuu hii lugha ya chini kuntu balaaa...
 
Je man city ataweza vunja historia yake kuwa hajawahi mfunga liverpool katika uwanja wa ANFIELD kwa season 9 mpaka sasa!? Na bado itabakia historia
 
Je man city ataweza vunja historia yake kuwa hajawahi mfunga liverpool katika uwanja wa ANFIELD kwa season 9 mpaka sasa!? Na bado itabakia historia

hivi jamani man city wana historia gani..? mbona mnalazimisha mambo..?
 
Back
Top Bottom