Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mark my word kama huijui madrid ndio la 15 hiloHivi madrid ndio akachukue tena hili kombe utakua upuuzi sasa.
Ouky mwendo tumeumaliza, tukutane msi
walituzidi nin kukimbia kimbia ovyo uwanjani auMliwazidi Madrid kila kitu
Basi atachukua Mwacity UEFA champions league 2023/2024 wala usiwe na wasiwasi Ndugu [emoji2960]Hivi madrid ndio akachukue tena hili kombe utakua upuuzi sasa.
Madrid tutakabaliana nae vizuri tu Ngoja tumlete musiala kwanza.Na mwakani ana tua mbappe nilikuwa sina confidence juu ya ujio wa mbappe nilihisi uta disrupt rhythm ya madrid na utawala wa kina jude
laah jude ni kiboga tu pale mbele Madrid wanamuhitaji sana Mbapee mwenye caliber yake yule moto pia wapate kiongo bora kama modric ( writz )
Piga manshity hao nacheka saaaaaana hahaha hahaha
Hata goli lenyewe basi tu la kizembe mno.Ni vile tu soka ni mchezo wa kikatili sana. Manchester City alistahili ushindi. Walicheza vyema sana.
🤣🤣🤣🤣 Mngepenya mngetusumbua sana humu, mmerudisha goli ghafla mkahamia uzi wa Arsenal na kejeli kibao!!!! Haya kiko wapi?? 😂😂😂😂
Baba Jane bye bye 👋
Wew ulitaka wapaki bajaji au kama ni simple na wew ungepaki mkacheze ligi ya Mbuzi Na Arsenal huku sio level zenuMajinga yamepaki basi dakika 120😂
kwani Goli lenu pia si uzembe ule au unajitoa ufahamuHata goli lenyewe basi tu la kizembe mno.
Hii game ilikua yetu kabisa yani wala isingeenda matuta, tumepigwa kamba bado tukawa tunaleta pira la kisharobaro.
Vikina Juniors vina midomo sana, sasa virudie timu zao za awali za UEFA kama Chelsea SC, Arse8, Mwantesa Utd na Liverkuku [emoji28]Bye bye mafala nyie mlitusumbua Sana humu[emoji23]
Acha maneno ya kwenye kangaWew ulitaka wapaki bajaji au kama ni simple na wew ungepaki mkacheze ligi ya Mbuzi Na Arsenal huku sio level zenu
huku tunamleta davis 40m mbappe free agent hakimi 60+ yule beki yoro wa lile tukamnyatie writz basi nyinyi na sisi ugomvi wetu hauishi leoMadrid tutakabaliana nae vizuri tu Ngoja tumlete musiala kwanza.