The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wametengenezewa mazingira mazuri ya kushinda mechi na wameshinda kweli bwana.

mkuu Ambitious unajua ile penati ya kwanza ni wachezaji wa villa wameiona ila sisi wenywe tumeshangaa penati gani ile na ukiangalia replay inaoneka kuna small contact labda linesman ndio kaiona vizuri..
 
Last edited by a moderator:
mkuu Ambitious unajua ile penati ya kwanza ni wachezaji wa villa wameiona ila sisi wenywe tumeshangaa penati gani ile na ukiangalia replay inaoneka kuna small contact labda linesman ndio kaiona vizuri..

Yaani wachezaji wa Villa ndio wamemwambia mwamuzi msaidizi kwamba ni penati?!?
Kubali mbeleko hiyo: ingekuwa United, mara tunabebwa, mara mwamuzi ni mchezaji wa United n.k.
 
Last edited by a moderator:
Yaani wachezaji wa Villa ndio wamemwambia mwamuzi msaidizi kwamba ni penati?!?
Kubali mbeleko hiyo: ingekuwa United, mara tunabebwa, mara mwamuzi ni mchezaji wa United n.k.

waliende kulalamika baada ya kuona kainua kibendela na hapo ni linesman katubeba ila refa hajabeba kabisaa...
 
waliende kulalamika baada ya kuona kainua kibendela na hapo ni linesman katubeba ila refa hajabeba kabisaa...

Haijalishi. Mbeleko ni mbeleko tu. Mwamuzi msaidizi naye ni mtoa maamuzi katika mechi.

Kubali mmebebwa kwa kupewa penati iliyozima nguvu za Villa.
 
Haijalishi. Mbeleko ni mbeleko tu. Mwamuzi msaidizi naye ni mtoa maamuzi katika mechi.

Kubali mmebebwa kwa kupewa penati iliyozima nguvu za Villa.

ya kwanza nakubali wala hata sikatai ila ya pili ni halali basi tumeshinda 4 bila..
 
mkuu Ambitious unajua ile penati ya kwanza ni wachezaji wa villa wameiona ila sisi wenywe tumeshangaa penati gani ile na ukiangalia replay inaoneka kuna small contact labda linesman ndio kaiona vizuri..

Kaka naelewa its all part of the game...time and again,officials(not only Webb) make hasty decisions but then it changes the whole complexity of the match.You got lucky today...Congrats!!
 
Last edited by a moderator:
543079_10152271410375455_1422536927_n.jpg
 
[h=1]Premier League - Tevez laughs in face of court appearance[/h][h=2]Carlos Tevez has cocked a snook at the British legal system as he ridiculed his impending court appearance with a goal celebration at the weekend.[/h]
The Manchester City striker scored twice in the league leaders' 5-0 demolition of Aston Villa, each time celebrating by running to the side of the pitch and miming steering a car - a reference to his upcoming appearance in the dock over a speeding offence.

Tevez's car was snapped speeding in Morecambe back in March on the day that the Argentine striker played in a reserves match.
The 28-year-old is accused of failing to respond to documents sent to him by police following the incident, with authorities pursuing him for failing to disclose who was driving rather than for speeding.
He will appear in court on November 26, "in connection with an allegation of failing to provide identification following an allegation of speeding," Lancashire police confirmed.
If convicted, Tevez would receive six points on his licence in addition to the three he received last year for speeding in his Bentley Continental GT. A different car is involved this time round, according to the Manchester Evening News.
 
Back
Top Bottom