The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Andereicht 1-3 Milan...
*El shaarawy
*Mexes
*pato.
Milan are through... NB
Goli alilofunga beki wa Milan Philip Mexes kama
angelifunga Messi basi tungeambiwa Champions
League imekwisha na Barca ni mabingwa so
tusubiri michuano ya nxt season... Forza Milan.
wewe ndie Honey wangu ambaye watu
wananieleza mabaya yako weeeh lakini naishia
kuwajibu ''yatawashinda''.
Mimi na wewe mpaka ntakapotangulia
kusikojulikana. Nakupenda sana Darling, amini hilo.
 
Mancini Woah
Mancini Woah
He come from Italy,
To Manage Man City,
Mancini Woah,
Mancini Woah..

waarabu wamejitahidi, mtu ambae anatolewa nje ya group stages miaka miwili mfululizo....na ukizingatia hata alivyokua inter milan record yake CL ilikua mbovu nashangaa bado wako nae na juzi juzi amesign mkataba mwingine...
 
Mancini Woah
Mancini Woah
He come from Italy,
To Manage Man City,
Mancini Woah,
Mancini Woah..

waarabu wamejitahidi, mtu ambae anatolewa nje ya group stages miaka miwili mfululizo....na ukizingatia hata alivyokua inter milan record yake CL ilikua mbovu nashangaa bado wako nae na juzi juzi amesign mkataba mwingine...

Next season hatokuwepo tena hasa akikosa Ubingwa wa EPL na nafasi yao kubwa hawana mid week fixtures
 
Andereicht 1-3 Milan...
*El shaarawy
*Mexes
*pato.
Milan are through... NB
Goli alilofunga beki wa Milan Philip Mexes kama
angelifunga Messi basi tungeambiwa Champions
League imekwisha na Barca ni mabingwa so
tusubiri michuano ya nxt season... Forza Milan.
wewe ndie Honey wangu ambaye watu
wananieleza mabaya yako weeeh lakini naishia
kuwajibu ''yatawashinda''.
Mimi na wewe mpaka ntakapotangulia
kusikojulikana. Nakupenda sana Darling, amini hilo.
lile bao la Mexes jana limenikumbusha Shaaban Ramadhani vs Raja Casablanca au Zlatan vs England,sio Messi sema ingekuwa mwingereza basi ingekuwa breaking news hadi ktk magazeti ya udaku bongo,yote 9 10,spain oyee timu zote 4 zimesonga mbele malaga juu yenu namba 1 licha ya kumuuza cazorla santiago bado haijayumba,valencia ni furaha tu kwa manolo,real madrid na fc barcelona,mabingwa wa england nje na mabingwa watetezi wanaombea shaktar wamfunge juve,spain tunasema wacha kupiga mayowe waje waone wenyewe,maana tukisema oh tunachonga sana,oh spain timu 2 tu,sasa cha ajabu wao wanaoita ligi bora eti huyo bingwa epl mwaka wa 2 anatoka mapema na asipoangalia hata mechi za alhamisi anaweza akakosa! ila farao al shaawary anawasaidia sana hadi berlsuconi kampa uraia italy
 
lile bao la Mexes jana limenikumbusha Shaaban Ramadhani vs Raja Casablanca au Zlatan vs England,sio Messi sema ingekuwa mwingereza basi ingekuwa breaking news hadi ktk magazeti ya udaku bongo,yote 9 10,spain oyee timu zote 4 zimesonga mbele malaga juu yenu namba 1 licha ya kumuuza cazorla santiago bado haijayumba,valencia ni furaha tu kwa manolo,real madrid na fc barcelona,mabingwa wa england nje na mabingwa watetezi wanaombea shaktar wamfunge juve,spain tunasema wacha kupiga mayowe waje waone wenyewe,maana tukisema oh tunachonga sana,oh spain timu 2 tu,sasa cha ajabu wao wanaoita ligi bora eti huyo bingwa epl mwaka wa 2 anatoka mapema na asipoangalia hata mechi za alhamisi anaweza akakosa! ila farao al shaawary anawasaidia sana hadi berlsuconi kampa uraia italy

chezea farao wewe anaiokoa kishenzi..
 
Back
Top Bottom