The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Welcome Abdu.
IMG-20250121-WA0002.jpg
 
For long time tumekuwa na tatizo la kuwa na CB's wasio na pace (Dias, stones, Ake, Akanji, Kompany, Zabaleta, Otamendi, Mangala)

Now tuna Khusanov na Reis, wana pace.
Nahisi pep atakuwa anamtumia Reis zaidi kama fullback
 
For long time tumekuwa na tatizo la kuwa na CB's wasio na pace (Dias, stones, Ake, Akanji, Kompany, Zabaleta, Mangala)

Now tuna Khusanov na Reis, wana pace.
Nahisi pep atakuwa anamtumia Reis zaidi kama fullback
Hao jamaa wanaweza kuanza gemu ya leo?
 
Stones amerejea kikosini.

Huyu jamaa akicheza leo anarudi wodini tena 🤣
 
Back
Top Bottom