The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

dakika 89 nyongeza dakika 5 naona timu zote zimeshakubali matokeo. wakati huohuo Toure anachechema.
 
Na mpira umekwisha! City wanachukua nafasi ya 4 na point 16, Villa nafasi ya saba Points 13, Toure kaumia.
 
Beki ya Man City kwenye set pieces ni nyeupe sana washukuru kipa wao (Shay Given) ni mzuri.
 
Villa-v-Man-City-Richard-Dunne-Carlos-Tevez_2369563.jpg



Villa-v-Man-City-Gareth-Barry-Richard-Dunne_2369577.jpg



Villa-v-Man-City-Steve-Sidwell-Emmanuel-Adeba_2369580.jpg
 
To be honesty

Man City nayo yaaanza kudolola sio mwendo kasi walio anza nao na Hiyo ni kwa sababu ya kununua Super Star ila Kocha wao Talent hakuna mpira wanao ucheza ni wa experience hapo ngoja League ifike upande wa pili mje mwone kasi yao na Mwenzake swahiba Man United.

Hata Match ya Livelpol na Chels nayo hatukuona standard Fotball ilikuwa butua butua, ndio twajua at the end mshindi apatikane lakini hata mpira wa kuwaburudisha mashabiki duuuuuuuuu, ni bora hat Arsnal hutuburudisha sana na mpira wao hata kama wamefungwa walio shinda watatoka hawana rahaa kwani wanajua wameshindia basi tu
 
Hata Match ya Livelpol na Chels nayo hatukuona standard Fotball ilikuwa butua butua, ndio twajua at the end mshindi apatikane lakini hata mpira wa kuwaburudisha mashabiki duuuuuuuuu, ni bora hat Arsnal hutuburudisha sana na mpira wao hata kama wamefungwa walio shinda watatoka hawana rahaa kwani wanajua wameshindia basi tu

Maumivu ya kichwa huanza pole pole!
 
Naona mambo imeshaanza kuiva kwa majirani, huyu jamaa bora angeenda zake Spurs.

Bulgarian winger Martin Petrov has again expressed his unhappiness at being left on the substitutes' bench by Manchester City manager Mark Hughes.

Petrov scored against West Ham United in the Premier League last week and set up Carlos Tevez's goal but he was an unused substitute in City's 1-1 draw at Aston Villa on Monday.

"I wanted to save my energy to win some jitball matches during Bulgaria training sessions," Petrov said sarcastically to explain why he did not play against Villa.

Petrov, who joined City from Atletico Madrid in 2007, ran to the bench to celebrate his goal by pointing to his shirt and number.

"No, I didn't do it for him (Hughes). I did it for my wife because she forgot my number", Petrov told reporters on Wednesday at the Vasil Levski national stadium, hinting at his limited opportunities at City.

Petrov, who suffered with a knee injury last season, was poised to join Tottenham Hotspur on the final day of the transfer window but the move broke down.

"When they give me a chance I give my best," he added. "I think I've shown that I deserve a place in the starting line-up but it's up to him (Hughes).

"It's not a pleasant (situation). I'm a professional and I'm observing my obligations but it doesn't rest well with me."
 
To be honesty

Man City nayo yaaanza kudolola sio mwendo kasi walio anza nao na Hiyo ni kwa sababu ya kununua Super Star ila Kocha wao Talent hakuna mpira wanao ucheza ni wa experience hapo ngoja League ifike upande wa pili mje mwone kasi yao na Mwenzake swahiba Man United.

Hata Match ya Livelpol na Chels nayo hatukuona standard Fotball ilikuwa butua butua, ndio twajua at the end mshindi apatikane lakini hata mpira wa kuwaburudisha mashabiki duuuuuuuuu, ni bora hat Arsnal hutuburudisha sana na mpira wao hata kama wamefungwa walio shinda watatoka hawana rahaa kwani wanajua wameshindia basi tu

Kama hujui mambo ya mpira usikimbilie kuchangia maana unatuudhi..kama ulimaanisha Chelsea kwa kuandika chels basi unahitaji miaka mingi kujifunza football na hutakaa uelewa proffesional football ni nini..waulize hao uliowaita livelpol kama ulikuwa unamaanisha Liverpool watakueleza hiyo unayoita standard fotball kama ulikuwa unamaainisha standard football
 
duuh jamaa ManC wameshakubali kimoja...... Charles Nzogbia...kapiga bao....sasa ni mapumziko
 
Taratibu mshaanza kuchechemea..

...naaaaam, naaaaaam,....

pwani tunasema "...ngoma ivumayo haidumu,..." au vijana wa kimjini wanaita "... ilikuwa nguvu ya soda tu khakhaaa!"

Kwaherini Man City, jaribuni tena msimu ujao, ...labda na kocha mwingine...!
 
...kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... nyie kama Spurs tu, kelele miiiiingi, hamkujua soda ni gesi tu?

kwaherini!
 
Back
Top Bottom