ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
Wapuuzi hawa .. walimuuza Kolo Toure ona sasa. (Kule Anfield ana'star' kwenye defence si mchezo ..)
kaka hata leo hii ukimchukua chamackh na kumuhakikishia namba atajituma mbaya kuonesha kuaminiwa na jamaa alikuwa anakaza sana maana sasa hivi richards hapangwi ambaye angekomaa pale kati kwani zabaleta kishaanza kuchoka maana umri sio mchezo..