The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hahahahah

Ntuzu umefuraaahiii..

angalia aisee, wanakuja kwako hao weekend hii, wasije wakakudhalilisha mkuu..


Teh Teh Teh Teh

Mkuu MosDef Unajua Jana tumebishana sn mi nikawambieni kz ya kudhohofishwa City inafanywa na na timu zingine! Wengine wakaniona mbishi na kunishauri niwe Nafatilia maoni ya Wachambuzi Wa UK au ulaya Lkn Mimi nikakataa nikasema siwezi! Mimi natoa maoni Yangu na sifati ya mtu! Mi nachambua soccer mwenyewe!

Naelewa Sunderland wanakuja next saturday Lkn Nimekua nikisema habari za kuanzishwa Ba na Salah na Matic Lkn Watu hamuelewi Kwanini nasema hivyo!

Hao kina Ba na wenzake ndio wataiua sunderland Hiyo Jmosi na wengine watapumzika kwaajili ya ATM! Upo hapo Mkuu!

Then tunakuja kwako mazima!


Teh Teh Teh Teh
 
Last edited by a moderator:
League bado mbichi sana.
matokeo ya leo yamedhirihisha hivyo.
This one will go all the way until the last games of this season.
Bado City anaweza akachukua ubingwa. Mtakuja kunikumbuka kuwa nimesema hivyo

Game ya leo ndo key game after defeat.
Ubingwa basi
 
Teh Teh Teh Teh

Mkuu MosDef Unajua Jana tumebishana sn mi nikawambieni kz ya kudhohofishwa City inafanywa na na timu zingine! Wengine wakaniona mbishi na kunishauri niwe Nafatilia maoni ya Wachambuzi Wa UK au ulaya Lkn Mimi nikakataa nikasema siwezi! Mimi natoa maoni Yangu na sifati ya mtu! Mi nachambua soccer mwenyewe!

Naelewa Sunderland wanakuja next saturday Lkn Nimekua nikisema habari za kuanzishwa Ba na Salah na Matic Lkn Watu hamuelewi Kwanini nasema hivyo!

Hao kina Ba na wenzake ndio wataiua sunderland Hiyo Jmosi na wengine watapumzika kwaajili ya ATM! Upo hapo Mkuu!

Then tunakuja kwako mazima!


Teh Teh Teh Teh

Ila mkuu Ntuzu EPL haitabirik kabisa aisee..

Haujapita mda mrefu toka Arsenal afe 3-0 pale GoodsonPark, leo hii Everton anafungwa 3-2 na crystal palace, na hii ilikuwa ni game muhimu sana kwa Everton..

Hizi team znazopigania kushuka daraja ni mbaya sana kukutana nazo sahv..lolote linaweza likatokea aisee..

Coz wanacheza kwa kujituma sana, na hawa subderland watakuja na confdence kubwa sana,

Game itakuwa ngumu sana..
 
Last edited by a moderator:
Ila mkuu Ntuzu EPL haitabirik kabisa aisee..

Haujapita mda mrefu toka Arsenal afe 3-0 pale GoodsonPark, leo hii Everton anafungwa 3-2 na crystal palace, na hii ilikuwa ni game muhimu sana kwa Everton..

Hizi team znazopigania kushuka daraja ni mbaya sana kukutana nazo sahv..lolote linaweza likatokea aisee..

Coz wanacheza kwa kujituma sana, na hawa subderland watakuja na confdence kubwa sana,

Game itakuwa ngumu sana..


Mkuu Naelewa Hilo! Hizi timu zinakufa na Watu! Na mbaya Zaidi Unajua kunakua kila upande kuna tension kubwa! Hawa wanajikomboa wasishuke daraja na Hawa wanataka ubingwa! Teh Teh Teh Teh

Sunderland ataleta upinzani sn Lkn Najua tutafanya maandalizi mazuri na uzuri ni kwamba Jose anafahamu Vzr hii Hali ya hizi timu hasa wakati huu!
 
Mkuu Naelewa Hilo! Hizi timu zinakufa na Watu! Na mbaya Zaidi Unajua kunakua kila upande kuna tension kubwa! Hawa wanajikomboa wasishuke daraja na Hawa wanataka ubingwa! Teh Teh Teh Teh

Sunderland ataleta upinzani sn Lkn Najua tutafanya maandalizi mazuri na uzuri ni kwamba Jose anafahamu Vzr hii Hali ya hizi timu hasa wakati huu!
Jose kama anazijua hizi timu kwa nini akivuliwa chupi na Tony Pulis majuzi?
 
Jose kama anazijua hizi timu kwa nini akivuliwa chupi na Tony Pulis majuzi?



Teh Teh Teh

Lile goli alifunga Tony Pulis?


Teh Teh Teh Teh Teh

Subirini muone Hiyo Sunderland itakavyo sambazwa kudadeki! Teh Teh Teh Teh
 
Jamaa zako akina MosDef na RRONDO na wengine Kibao mlikua mnasema City Bingwa au Loserfool! Sasa Mmeona?

Nakuja Anfield kukupiga hapo hapo na kuchukua ubingwa!

Teh Teh Teh Teh

man i love this game....this is the best league in the world!!!!
sunderland are struggling for survival and man city are favourite for championship yet on the night one couldnt separate the two!!!!in fact city where outplayed,outsmarted by a bottom club!!!!

city kikombe bye bye.....Liverpool kazi kwenu kama mnasukuma mlevi!!!!
 
man i love this game....this is the best league in the world!!!!
sunderland are struggling for survival and man city are favourite for championship yet on the night one couldnt separate the two!!!!in fact city where outplayed,outsmarted by a bottom club!!!!

city kikombe bye bye.....Liverpool kazi kwenu kama mnasukuma mlevi!!!!


Teh Teh Teh Teh

Ngoja tarehe 27 uone jinsi Liverpool atakavyokufa!
 
Wapi Mr. Wise

Lete maoni Mkuu!

Teh Teh Teh Teh

Game ya Chelsea na Loserfool inazidi kunoga na Kua tamu!

Teh Teh Teh Teh!

Mkuu nipo maoni yangu ni yale yale usiamue mechi kabla haijachezwa dk 90, nadhani umejionea tena kwa Sunderland!!Wasubiri jumamosi narudia Tena Ligi Bado
 
Mkuu nipo maoni yangu ni yale yale usiamue mechi kabla haijachezwa dk 90, nadhani umejionea tena kwa Sunderland!!Wasubiri jumamosi narudia Tena Ligi Bado

Nachofurahi Mkuu game ya liver na Chelsea ndio title decider!

Naijua Hali halisi ya Sunderland Lkn darajani watapata shida!

Saturday si mbali Mkuu!
 
Mkuu nipo maoni yangu ni yale yale usiamue mechi kabla haijachezwa dk 90, nadhani umejionea tena kwa Sunderland!!Wasubiri jumamosi narudia Tena Ligi Bado

huyu Ntuzu nafikiri hizi mechi anaziona kwenye chungu.....maanake anapanga matokeo tu wakati PALACE watoto wadogo walimuumbua.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom