The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

Wana jf tulio nje na Dar tunakosa mengi sana dah, if possible wana jf tulio nje na dar tuandae part yetu matata sana , napendekeza ifanyikie Dodoma, coz ndo kati au mnasemaje wadau?
 
swali....kazi....jibu...

IT IS NOT HIM MNAEMUHISI! HE MIGHT HAVE SCORED SOME POINTS KATIKA HII GAME LAKINI HE IS STILL AN AMATEUR! Ndo tatizo la kupanga mipango kazi na group, they always sell you out, na kulimit progress. SILENT KILLER WORKS ALONE BUT SOMETIMES HE LETS THE GROUP WORK FOR HIM!!!!!!!!!!!!!! Hahahhaaaaaaaaaaaaa! I have seen him it is not MY HUMBLE DEAR BROTHER MNA MUHISI. I will neve write an autobiography about him without his consent.

Hahahahaaaaaaaaaaaa! WATU KWA KUHISI HUMU NDANI.

cc Asprin, Vin Diesel, Mentor
 
Last edited by a moderator:
Heheh...mtani hili lihaya lenye 'altezza' limeimbishia totoz kwa jina la jirani yako bana...

Mekumithi mno jirani...muzima weye bila shaka...

Aisee...tuache sisi "wahaya" bana...fuata maerekezzo
 
watajua wenyewe
sasa uliza hao wanaojiuza humu ukute wengine wala si walimu
si bora mie muuza juice na visheti haya je huyo muuza uchi
aiseee mambo magumu!

Hahahahaaaaaaaaaaaaa! Kuna scene ya Tichaa NIMEIMINYIAAA tu manake nilihisi watu watamuhisi SNOW WHITE, and me n snw white we cool, nikaona sio issue niiminye kibindoni, sasa walimu mkijishau shaua naimwaga hadharani sasa. Mtulie kam mnanyolewa.
 
Kama ndo huyo niliyeponea kwake basi nshamjua nashangaa hajacomment kabisa kwenye hii thread.

Sio! I CAN ASSURE YOU! Huyo anatumia ID YAKE HALISI SI ETI? Huyu baradhuli SILENT KILLER ana ID mia kidogo.
 
Kama watu wazima mnaandika mambo kama haya,mnategemea vijana wanaojiunga kila siku humu waige nini kama sio upuuzi huu?

Mnajidharilisha ndugu,naona jamiiforum imeshakuwa ni zaidi ya facebook.

Wewe ndo unaona upuuzi ila haujui hii thread itaokoa wangapi walio karibu na mitego ya mabazazi.
 
Wana jf tulio nje na Dar tunakosa mengi sana dah, if possible wana jf tulio nje na dar tuandae part yetu matata sana , napendekeza ifanyikie Dodoma, coz ndo kati au mnasemaje wadau?
Kaizer nimeona umelike hapa, utanisimulia?
 
Last edited by a moderator:
We jishaue tu, nitakutaja wewe kisiasa tu.
Kill it basi lara 1 weka kila kitu uchi kama kilivyo ujumbe utakuwa umefika kunako kabisa rather the suspense and guess work inayoendelea right now!
 
endelea story teller...leo ata si ambao uwa tunapita hapa tukiwa tunaenda celeb tumeweka kituo hi hi hiiii
 
and du nimeisoma usiku wa manane...comment 700 si mchezo...SILENT KILLER must be killed..( kidding)
 
Leta mwendelezo na MAJIna kama kawa bana si wote wana ID fake afu ukiwaficha wengine utakuwa hujafanya fair kwa waliotajwa kwenye uzi huo. Taja majina bana i like to see someone kicked his/her ass!
 
Back
Top Bottom