matatizo gan? ebu waseme ukweli ivi mtu kama si ujinga utaanzaje kumvulia kyupi mtu wa mtandaon? na mbaya zaidi hajawai kukufanyia la maana?
Usisahau mi ndo ze lijendi wa MMU. Ukiendelea kuniletea utoto nakuondolea access ya kuingia hapa. Sema nisamehe babu kabla sijafungua mkanda wa sarawili yangu.Unavyodengua sasa khaaaaah!
Ndio ujue namaanisha nini kwamba shimo la panya halizibwi kwa mkate.... shmbony shafo klemeeeeee...
CC Paloma
Una shingapi? Rushwa ya ngono nishakinai LOLHahahaaaa nimekuona nikacheka sana babu ODM!
Nahisi utakuwa unamjua bazazi mwenzio.....ning'atemo basi kasikio! Lol
matatizo gan? ebu waseme ukweli ivi mtu kama si ujinga utaanzaje kumvulia kyupi mtu wa mtandaon? na mbaya zaidi hajawai kukufanyia la maana?
Una shingapi? Rushwa ya ngono nishakinai LOL
Acha kupitwa na wakati wewe..... wenzio washahamia Eatel.... mambo iko huku.....Hahahaha nipe sempo kwanza ka iko na quality nakulipa vizuri!
Usisahau mi ndo ze lijendi wa MMU. Ukiendelea kuniletea utoto nakuondolea access ya kuingia hapa. Sema nisamehe babu kabla sijafungua mkanda wa sarawili yangu.
Basi tu yaani, yeah babu lazima awe salama, usalama wa babu kwanza
Acha kupitwa na wakati wewe..... wenzio washahamia Eatel.... mambo iko huku.....
https://www.jamiiforums.com/mahusia...slept-with-them-all-and-i-dont-regret-it.html
Kimya kimya ndio mpango...teh teh teh..
Kwahyo akaandika yeye akakutumia uiweke huku? Au mlionana sehem akakusimulia ukawa unaandika?
Angeileta yeye ingekuwa safi zaidi.
Ila huu uzi utaleta vurugu sana.
Haya wazoefu,sie twapita tuukifuatilia vzr utagundua haikuwa kimya kimya, maana walikuwa wanashare tena wanakaa na wapuuzi wenzie wanaambizana yule tayari yule hivi nk, sasa hapo unatetea nn? n this ni behaviour ya boys wengi, men wachache hawako hivyo.