Mkuu, Magufuli alikuwa hamkubali Samia kiutendaji hata kidogo. Ila kwa vile alikuwa ni mtu mpenda kunyenyekewa na kusifiwa, na Samia alijua kufanya hivyo, basi akaamua kuendelea naye kwani hakujua kuwa anaweza kufariki mapema hivyo. Alidhani atamaliza muda wake wa urais na kumweka mtu atakayemtaka yeye. Kwa kifupi alijisemea kuwa ''huyu mwache tu, madhali nguvu zote ziko kwa rais na ananitii, hakuna shida. Kuna habari kuwa Magufuli alizidiwa ghafla hivyo akashindwa kufanya maamuiz yoyote, lakini angekuwa ameugua ugonjwa usioua ghafla, basi kungekuwa na mabadiliko kabla hajafa.