The new Nairobi commuter trains are mouth-watering and are on the way to Mombasa port

Kwn unateseka auu.
Yani miaka mitatu na 200 km pekee bado imewashinda kumaliza. Ilikuwa mvua, sasa ni mamba zimesimamisha mradi (Hata GOT haina aibu kusema kitu kama hii).

Advice: Finish your project first before commenting on things you have no experience on.

Kenya yetu inafanya kazi kwa miaka 2 na miezi 6 sasa (km 700), yenyu bado ni ndoto na haijulikani itaisha lini hiyo 200 km. Kwani uvivu wa watz haina mwisho?
 
See! my instinct has always been right! i can't play with your ego and colonial ignorance is bliss thing. I knew that in the end you would use english as a scapegoat! a typical failed stateman with fairly low self esteem! if i were you! i would probably get a bit of something to feed those who are languishing with hunger at Kibera! once you are done with that then come back to this forum, you will be a grown up by then! good luck!
 
Kenya yenu inafanya kazi nini hiyo inayofanya kazi? Mbn una mix mambo ww, unapoongelea electric sgr ucongelee diesel sgr cz utofauti wake ni mbingu na ardhi.
 
Chinese firm Stecol Corporation has secured a Sh5.6 billion deal to start construction of special lanes for high-capacity buses through the Nairobi city centre and Thika highway next month. Chinese firm bags Sh5.6bn deal for Nairobi bus rapid transit
 
The Nairobi Metropolitan Area Transport Authority (Namata) said in March that Dar es Salaam BRT had several flaws such as delays in bus arrivals and departures as well as a poor link between roads and commuter rail stations.

“We are working with the Bogota model which is advanced and better timed than Dar es Salaam is,” Namata chief executive James Ng’ang’a said in an interview.

Chinese firm Stecol Corporation has secured a Sh5.6 billion deal to start construction of special lanes for high-capacity buses through the Nairobi city centre and Thika highway next month. Chinese firm bags Sh5.6bn deal for Nairobi bus rapid transit
 
And finally,
 
And finally u have agreed that Tz ni baba lao, mkubwa ni mkubwa, u have decided to copy and paste, hehehe eti next month the construction will be started, listen u fool there will not be any BRT construction in kunyaland na km unabisha ngj tuone.
Nafikiria kusoma kizungu imekushinda. Acha nijaribu kutafsiri Kenya inachukua BRT plan ya Bogota, Colombia ambayo iko juu ya hiyo ya tanzania kwa teknolojia na uchapa kazi. Kenya haiwezi chukua mipango za Tanzania ambazo hazifanyi kazi vizuri. Mabasi yana chelewa, Watu kujazana kwenye stesheni ni kama ni soko, haina miundo binu mwafaka ya BRT system. Hakuna Commuter rail ya kusaidia BRT. Hayo ni baadhi ya sababu Kenya haikutaka BRT kama Commuter rail phase 1 imalizwe.

Nimekupa dose ya reality ,sasa rudi kwa ndoto zako za Tanzania kuipiku Kenya in 2025.
 
Hamuna uchumi wa kujenga BRT nyie wacha kujifariji, af unasema bila aibu watu wanajazana kwa basi lete hyo picha watu wakijazana af linganisha na hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
 
Eti new[emoji23][emoji23][emoji23]
Una uwezo gani waku ship vitu kitoka kiwandani we bwege
Nina shamba la heka 750 unadhani kwanini Tanzania tunalisha afrika tunashapa kazi kila mwaka navuna magunia ya mahindi elfu 6000 na mpunga wa pochori magunia elf1000 na mazao mengine chungu mzima na sasa nataka kuagiza mascania new mawili very soon nitakuwa $ multimillionaire

Send by APOLO 1
 
Mwaka bado kuisha huu mwaka wakenya na mabeberu mtatii tu
Covid 19 go go to Kenya mpaka mfike super lockdown

Send by APOLO 1
 
Hahaha!!endelea hvo hvo labda ndoto zako zitatimia
Ila ukiwauzia ccm hayo magunia utalipwa 2030[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23] komora096 unanunua Gari ya tsh500000= ksh25000 kweli wewe ni pimbi au unatafuta chuma chakavu ukafanye nyumba kwa slum kibera?[emoji16][emoji16]

Send by APOLO 1
Mbna una uchungu boy[emoji23][emoji23][emoji23]
Hvyo vyuma vina kazi yake baba..
Hujaona watu wanatumia vyuma vya zamani kisha ana pimp kitu hadi kinaleta mvuto hku hyo hyo msela wna mark x new model



Alafu hyo mark II ya ksh 25000 ni ya mwaka gani..
 
And finally u have agreed that Tz ni baba lao, mkubwa ni mkubwa, u have decided to copy and paste, hehehe eti next month the construction will be started, listen u fool there will not be any BRT construction in kunyaland na km unabisha ngj tuone.
Nyinyi Ni curtain raisers kutumbuiza mafans kabla Baba(Kenya)yao aingie.
 
Hz ngonjera zote unaweka hapa ni za kujifariji tu but u really know the truth kwmb Tz inajenga electric sgr, na pia inajenga bwawa kubwa Afrika mashariki na kati la ku generate power, ss hz unaongea hapa ni trash but u r already know.
 
Hata mlie vp, hata mchukie mpk kupasuka lkn hamtabadili ukweli kwamba treni ya kwanza ya umeme Afrika mashariki na kati itafanya safari zake kutokea Dar es salaam kwenda Morogoro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
nyenyenyeeee

kupata kituko kama hiki tena bonyeza star,hash,star 1[emoji16][emoji16][emoji16].
hii ya kwetu pesa yake +jumlisha na wizi wenu tutegemee billions$.
bado hujaguza hiyo bora zaidi+kaufisadi mtakopa wapi kwanza[emoji23][emoji23][emoji23].

yakwetu haijwahi fail operation sababu ya muundo wake wewe covid,ila sababu ya usimamizi wa kisanii wakati fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…