The Official Azam FC Thread

The Official Azam FC Thread

By ndetichia TRANSFER NEWS:
Player's Name : Ismail Mamadou Conte

From: Stella Abidjan (Ivory Coast)

To: Azam FC (Tanzania)
Position : Striker
Azam FC yaibanjua tena Ruvu Shooting 3-0


Submitted by ppkahemele on Thu, 2013-12-26 19:07
1_1.jpg




AZAM FC leo imemkaribisha kocha wake kwa zawadi ya Krismass baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujaribu mfumo wa tiketi za elekroniki uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni hii.

Hadi mapumziko, tayari Azam FC, walio chini ya kocha mpya Mcameroon, Joseph Marius Omog ambaye anataka timu imiliki mpira mwanzo mwisho walikuwa mbele kwa mabao 2-0.

Brian Omony alitangulia kuifungia Azam Fc bao la kwanza kwa kichwa dakika ya 10 kazi nzuri Mganda, nahodha John Bocco, Aggrey Morris na Said Moradi.

Umony sasa anaonekana kurudi katika kasi yake ya mchezo baada ya kuandamwa na majeruhi msimu uliopita.

Bao la pili liliwekwa nyavuni kwa mkwaju wa penalti na mshambuliaji wa Ivory Coast, Kipre Herman Tchetche dakika ya 30, baada ya Ayoub Kitala kuurudisha kwa mkono mpira uliokuwa unaelekea nyavuni. Baada ya Bocco kuukwamisha mpira nyavuni.

Refa Israel Mujuni Nkongo alimpa kadi nyekundu beki wa Ruvu na kuifanya timu ya Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ imalizie dakika 50 za pambano hilo ikiwa pungufu.


Mchezo ulikuwa mzuri kipindi cha kwanza timu zote zikicheza soka ya kufundishwa na makocha waliosomea Ujerumani, Mkwasa wa Ruvu na Omog wa Azam FC.

Kipindi cha pili timu zote zilifanya mabadiliko karibu ya vikosi vizima na aliyekuwa kivutio katika ngwe hiyo ni mshambuliaji mpya kutoka Ivory Coast Muamad Ismael Kone (picha hapo chini) toka Ivory Coast aliyeingia pia kwa upande wa Azam FC.



Kone alionyesha uwezo mkubwa sana wa kucheza soka na akafunga bao zuri la tatu dakika 57 57.
2.jpg



Baada ya mechi hiyo, Azam inatarajiwa kwenda Zanzibar kutetea Kombe la Mapinduzi, michuano inayoanza mapema Januari 1, mwakani, wakati Ruvu itaendelea na maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.

Baada ya Mchezo kocha Omog alisema ana kazi kubwa ya kufanya kwani timu inapoteza mipira kirahisa, haina kasi na inapopoteza mipira wachezaji wanategeana kukaba

Alisifia kikosi cha Azam FC kuwa kina wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu na akasema hadi utakapofika muda wa kucheza michezo ya kimtaifa anadhani timu itakuwa tayari
source: www.azamfc.co.tz
 
MABORESHO AZAM COMPLEX YAENDELEA, SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA HUENDA IKAPIGWA CHAMAZI

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wakiendelea na zoezi la uwekaji wa viti vya kisasa katika majukwaa ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, Dar es Salaam. Klabu ya Azam inataka kuutumia Uwanja huo kwa michuano ya Afrika pia mwakani na inapambana na muda kuhakikisha uboreshaji unakamilika mapema ili mechi zake za Kombe la Shirikisho icheze hapo mwakani.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Siti za kulala[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Hiki ni moja ya vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya timu, unaweza kujionea ni cha kisasa kabisa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wamemaliza kazi ya kupaka rangi na sasa mabinti wanafanya usafi[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Chumba cha mikutano, ni cha hadhi ya juu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Eneo hili ndilo timu zitakuwa zinatokea kuingia uwanjani[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



CHANZO: BIN ZUBEIRY BLOG + www.azamfans.blogspots.co.uk

 
MABORESHO AZAM COMPLEX YAENDELEA, SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA HUENDA IKAPIGWA CHAMAZI

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wakiendelea na zoezi la uwekaji wa viti vya kisasa katika majukwaa ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, Dar es Salaam. Klabu ya Azam inataka kuutumia Uwanja huo kwa michuano ya Afrika pia mwakani na inapambana na muda kuhakikisha uboreshaji unakamilika mapema ili mechi zake za Kombe la Shirikisho icheze hapo mwakani.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Siti za kulala[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Hiki ni moja ya vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya timu, unaweza kujionea ni cha kisasa kabisa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wamemaliza kazi ya kupaka rangi na sasa mabinti wanafanya usafi[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Chumba cha mikutano, ni cha hadhi ya juu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Eneo hili ndilo timu zitakuwa zinatokea kuingia uwanjani[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



CHANZO: BIN ZUBEIRY BLOG + www.azamfans.blogspots.co.uk

well done team mngment kudos sana we make it now..
 
MABORESHO AZAM COMPLEX YAENDELEA, SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA HUENDA IKAPIGWA CHAMAZI

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wakiendelea na zoezi la uwekaji wa viti vya kisasa katika majukwaa ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi, Dar es Salaam. Klabu ya Azam inataka kuutumia Uwanja huo kwa michuano ya Afrika pia mwakani na inapambana na muda kuhakikisha uboreshaji unakamilika mapema ili mechi zake za Kombe la Shirikisho icheze hapo mwakani.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Siti za kulala[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Hiki ni moja ya vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya timu, unaweza kujionea ni cha kisasa kabisa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mafundi wamemaliza kazi ya kupaka rangi na sasa mabinti wanafanya usafi[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Chumba cha mikutano, ni cha hadhi ya juu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Eneo hili ndilo timu zitakuwa zinatokea kuingia uwanjani[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



CHANZO: BIN ZUBEIRY BLOG + www.azamfans.blogspots.co.uk

Dah! Mpaka raha yani.
 
MAPINDUZI CUP 2014
03 January2014
Unguja, Zanzibar.

RESULTS: Azam Fc 2 - Spice Stars (Unguja Combine) 0

Azam FC yaanza vema Mapinduzi Cup


Submitted by ppkahemele on Fri, 2014-01-03 16:06
3_0.jpg




Brian Umony na Himid Mao jana waliifungia Azam FC magoli na kuifanya ianze kwa ushindi wa 2-0 kwenye mashindano ya Mapinduzi Cup yanayorushwa moja kwa moja na Azam TV



Brian Umony aliyeingia dakika ya 59 kuchukua nafasi ya Muamad Ismael Kone, alicheza vizui sana na kusaidia kupatikana kwa ushindi huo.



Himid Mao aliifungia Azam bao la pili dakika ya 86, baada ya kuuwahi mpira uliokuwa unaelekea mikononi mwa kipa Silima kufuatia shuti la Salum Abubakar na kupiga shuti lililotinga nyavuni.



Katika mchezo huo, uliochezeshwa na refa Mfaume Ali, mabadiliko yaliyofanywa na kocha Mcameroon Joseph Marius Omog kipindi cha pili kuwatoa Khamis Mcha ‘Vialli’, Kipre Herman Tchetche na Kone na kuwaingiza Umony, Joseph Kimwaga na Seif Abdallah ndiyo yalileta ushindi huo.

Azam walitawala zaidi mchezo katika dakika 45 za kwanza, lakini wakakosa mbinu za kuivunja ngome ya Spice, inayoundwa na wachezaji mchanganyiko wa Unguja.



Kocha Omog alifanya mabadiliko kwenye kikosi cha kwanza cha Azam leo, akimrejesha Himid Mao kucheza nafasi ya kiungo pamoja na Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na Kipre Michael Balou, huku Erasto Nyoni akicheza beki ya kulia na Waziri Salum beki ya kushoto.



Azam ilitawala sehemu ya kiungo na pasi nyingi ziliwafikia washambuliaji Kipre Herman Tchetche na Muamad Ismael Kone, lakini wakashindwa kabisa kufunga kipindi cha kwanza.



Kwa ushindi huo, Azam inaongoza Kundi C kwa pointi zake tatu, na kubaki au kushuka itategemea na matokeo ya mchezo wa pili jioni ya leo Uwanja wa Amaan kati ya Ashanti United ya Dar es Salaam na Tusker FC ya Kenya.


Kikosi cha Azam FC kilikuwa; Mwadini Ali, Erato Nyoni, Waziri Salum, David Mwantika, Aggrey Morris, Kipre Balou, Himid Mao, Salum Abubakar, Muamad Kone/Brian Umony dk59, Kipre Tchetche/Seif Abdallah dk 70 na Khamis Mcha ‘Vialli/Joseph Kimwaga dk46.

Source: The Official Website of Azam Football Club | Tucheze pamoja kwa furaha
 
leo mapinduzi cup
ft azam fc 1 - 0 tusker fc k tchetche
 
Azam FC leo imeshinda 1-0 dhidi ya Ashanti United, Azam FC imekuwa timu pekee iliyoshinda mechi zote kwenye kombe la Mapinduzi, baada ya kushinda 2-0, 1-0, na 1-0
 
Back
Top Bottom