The Official NBA Thread

The Official NBA Thread

kuna siku moja wakati game inaendelea, mtangazaji akaamua mzungumzia Big Tz wetu, wakaishia ku conclude kuwa haijawahi tokea kwenye historia ya NBA top 3 drafted player kuwa a flop kama ilivyo kwa msela. Eti wanaregret kwanini waliweka matarajio makubwa sana on him.
Dogo kwa sasa hajali kitu, hajui kuwa mkataba wake wa sasa kama sikosei wa miaka mi 5 alioingia alipojiunga nba utakapoisha atapata tabu sana kupata timu nyingine!!


wabongo mna laana.....
 
Last edited by a moderator:
Pazi, Yo Yo, thedon, Mtaalamu na wote wanaoshabikia Thunders, ndiyo kwanza game ya 1 kati ya possible 7. Tulieni, tufurahie basketball na bingwa apatikane; lakini hapa bado kusema tofauti na hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Pazi, Yo Yo, thedon, Mtaalamu na wote wanaoshabikia Thunders, ndiyo kwanza game ya 1 kati ya possible 7. Tulieni, tufurahie basketball na bingwa apatikane; lakini hapa bado kusema tofauti na hivyo.

Maybe you missed it in the discussion above but I'm on Bosh's side. Not the whole Miami Heat just Bosh.
 
Mwaka wa Durant huu.... Thunder Chapa hayo ma miami yananipa kichefu chefu....
 
Hawa vijana wa Thunder kikapu wanakiweza, lakini bado ni mapema sana kutabiri; ingawa biashara ni asubuhi!.
 
Few minutes to game 2...

minutes?!? Ndugu au wewe utaanza kuangalia mpaka safari za wachezaji wakiingia kiwanjani...
De real game start in de next 2.30hrs those r 150minutes!
N abt sisi kusupport OKC well sikuwa na alternative nyingine zaidi ya kusupport de best team kati ya hizo 2 n Miami aint anywhere close 2 being one
 
minutes?!? Ndugu au wewe utaanza kuangalia mpaka safari za wachezaji wakiingia kiwanjani...
De real game start in de next 2.30hrs those r 150minutes!
N abt sisi kusupport OKC well sikuwa na alternative nyingine zaidi ya kusupport de best team kati ya hizo 2 n Miami aint anywhere close 2 being one

Still got OKC all the way?
 
minutes?!? Ndugu au wewe utaanza kuangalia mpaka safari za wachezaji wakiingia kiwanjani...
De real game start in de next 2.30hrs those r 150minutes!
N abt sisi kusupport OKC well sikuwa na alternative nyingine zaidi ya kusupport de best team kati ya hizo 2 n Miami aint anywhere close 2 being one

Nimekusoma mtaalam. Niliangalia muda vibaya..nilicheki kwa Eastern Time bila kuhesabu tofauti ya masaa.
 
Last edited by a moderator:
keep on dreamin buddy! I can smell a clean swap kwenye hizi fainali
Did you mean "a sweep"?let's wait and see,just a hr and a half to go,wadogo wanabamizwa leo

Miami has got everything they need to win it all.Ni kweli thunder is the top team on the west,they have to prove it nationwide by winning the championship.Hawa wadogo walidhihirisha ni the best huko west,sasa they need to go through Miami,I believe it will be a good series,I bet on the Heat.Watch out for Wade, but mostly side kick kama Mario chalmers na Shane Battier.Nina uhakika kama the miami big three wakiperform kama masuper sta,basi Thunder ain't got nuttin on them,ntarudi hapa kukutoa nishai na ndoto zako.
 
Did you mean "a sweep"?let's wait and see,just a hr and a half to go,wadogo wanabamizwa leo

Miami has got everything they need to win it all.Ni kweli thunder is the top team on the west,they have to prove it nationwide by winning the championship.Hawa wadogo walidhihirisha ni the best huko west,sasa they need to through Miami,I believe it will be a good series,I bet on Heat

yep thnx 4 correcting me..

Miami is a gud team no doubt abt dat, de only problem they hav is they dont n cnt play kiteam hilo tu ndo huwa linawacost miaka nenda miaka rudi...ol OKC hav realized they need to do is kumbana n double team Lebron whch is somethin Boston failed 2do in game 6
 
yep thnx 4 correcting me..

Miami is a gud team no doubt abt dat, de only problem they hav is they dont n cnt play kiteam hilo tu ndo huwa linawacost miaka nenda miaka rudi...ol OKC hav realized they need to do is kumbana n double team Lebron whch is somethin Boston failed 2do in game 6
Mtaalam,hata Miami wanacheza vizuri kama timu given the time they have been together...

Hakuna cha kuwazuia kama wachezaji wengine (other than the big three)wakiperform well,kama wale wa "threes" wakizi knock down,itawasaidia nini Thunder?Eventually wata open up na watabamizwa,ni just one hr tusubiri,miami wanajuwa umuhimu wa game ya leo,so expect a big show.

Timu ya kuimaliza ukimzima na kumdouble team Lebron ilikuwa cavs,lakini siyo this heat team.
 
Last edited by a moderator:
Maoni yangu hii game ya leo itakuwa very tight lakini bado nawapa advantage OKC kwa sababu mcheza kwao mara nyingi hutuzwa. King LJ ili kuhakikisha ushindi inabidi acheze katika kiwango alichoonyesha katika game 6 dhidi ya Celtics vinginevyo itakuwa ni ngumu mno kushinda mchezo wa leo. Enjoy the game.



 
Last edited by a moderator:
OKC wana matatizo...hii habari ya kila mara ku trail si nzuri hata kidogo!

Sasa hivi ni 16-2.....wasipoangalia watapigwa bao vibaya sana.
 
Back
Top Bottom