Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Aisee kumbe bro anafaidi sana sio siri ana bahati kubwa kukupata....Alirudi kachoka sana shemeji yangu, na mimi huwa ninautaratibu pindi anapokuwa kachoka viungo vya mwili wake basi huwa nina mfanyia full massage [emoji4]
Wakati nikimsindikiza na maneno matamu tamu kama vile baby i really missing you, yaan ulivyoondoka nikawa naogopa kubaki mwenyewe, huku baridi na hii mvua next time itabidi tusafiri wote baby wangu.
Sasa zile salamu ningempa saa ngapi shemeji yangu?
Nisamehe tuu shem.
Nimekusamehe shem