williams king
Member
- Dec 3, 2006
- 34
- 2
Muh.mbowe
Tunashukuru kwa kutuelewa na kutaka ushauri kutoka kwa wananchi wa Tanzania pia itakuwa wewe nikiongozi makini katika jamii kwasababu unapenda kujifunza kila siku hata kwa mtu mdogo bila kuzarau maoni yake
Sisi kama wana forum tumekuruhusu kutumia forum hii kama jukwaa la siasa pia wengine katika vyama vyao wanaruhusiwa pia kutumia forum hii kisiasa kwanza uchaguzi wa maseneta marekani mwaka huu chama cha DEMOCTRATIC kimeshinda viti vingi kwa kutumia Mitandao ya Internet kwa hiyo Muh. Mbowe uko pazuri pia mimi nina shauri viongozi wa chama changu CCM waje huku kuongea na wananchi kusikiliza viliovyao.
Muh.mbowe forum hii ipo hapa kwasababu sauti za watu wengi zilikuwa hazisikiki hasa wanyonge vyombo vya habari vimenunuliwa vyote kutoa Tanzania Daima, vinaongelea upande mmoja tu wa mafanikio je upande wa mapungufu kama wa umeme ,mapanki,mikopo kwa wanafunzi ,n.k vitaongelewa wapi?
Huku hakuna kumfunga mtu mdomo pesa tuna kula na kukuandika tuna kuandika.
Mimi nina fikiri kuzaliwa mtanzania ni bahati kubwa sana tumekuwa na viongozi wachache wazuri wenye uchungu na nchi hii kama Muh.JK na Mbowe
Tumebarikiwa kwa vitu vingi kama mali asili, Lakini watendaji wake ndiyo wana muharibia sana hata mwaka haujaisha viongozi wamenza kujionyesha kabla hawaja timiza ahadi zao sasa hawa watendaji wa JK wanatoa mwanya mkubwa sana kwa chama kujulikana uzaifu wake.
Chama changu kina wazee wengi sana sina uhakika kama wanajua kutumia komputa. kwa sababu baadhi ya wabunge na mawaziri wana tumia email za watoto wao na wake zao, bila aibu wana ziandika kwanye business card zao nitaziweka kwenye forum hii siku chache zijazo, wengine hawajui email ni nini,
JK ana kibarua kizito tuna mkaribisha katika forum hii angalau kusoma tu kama hata kuwa na muda wakuchangia,
Ushauri wangu kwa JK jaribu kutumia wapinzani watu wako wanakuangusha utakuwa na kipindi kigumu sana 2010
asanteni
Tunashukuru kwa kutuelewa na kutaka ushauri kutoka kwa wananchi wa Tanzania pia itakuwa wewe nikiongozi makini katika jamii kwasababu unapenda kujifunza kila siku hata kwa mtu mdogo bila kuzarau maoni yake
Sisi kama wana forum tumekuruhusu kutumia forum hii kama jukwaa la siasa pia wengine katika vyama vyao wanaruhusiwa pia kutumia forum hii kisiasa kwanza uchaguzi wa maseneta marekani mwaka huu chama cha DEMOCTRATIC kimeshinda viti vingi kwa kutumia Mitandao ya Internet kwa hiyo Muh. Mbowe uko pazuri pia mimi nina shauri viongozi wa chama changu CCM waje huku kuongea na wananchi kusikiliza viliovyao.
Muh.mbowe forum hii ipo hapa kwasababu sauti za watu wengi zilikuwa hazisikiki hasa wanyonge vyombo vya habari vimenunuliwa vyote kutoa Tanzania Daima, vinaongelea upande mmoja tu wa mafanikio je upande wa mapungufu kama wa umeme ,mapanki,mikopo kwa wanafunzi ,n.k vitaongelewa wapi?
Huku hakuna kumfunga mtu mdomo pesa tuna kula na kukuandika tuna kuandika.
Mimi nina fikiri kuzaliwa mtanzania ni bahati kubwa sana tumekuwa na viongozi wachache wazuri wenye uchungu na nchi hii kama Muh.JK na Mbowe
Tumebarikiwa kwa vitu vingi kama mali asili, Lakini watendaji wake ndiyo wana muharibia sana hata mwaka haujaisha viongozi wamenza kujionyesha kabla hawaja timiza ahadi zao sasa hawa watendaji wa JK wanatoa mwanya mkubwa sana kwa chama kujulikana uzaifu wake.
Chama changu kina wazee wengi sana sina uhakika kama wanajua kutumia komputa. kwa sababu baadhi ya wabunge na mawaziri wana tumia email za watoto wao na wake zao, bila aibu wana ziandika kwanye business card zao nitaziweka kwenye forum hii siku chache zijazo, wengine hawajui email ni nini,
JK ana kibarua kizito tuna mkaribisha katika forum hii angalau kusoma tu kama hata kuwa na muda wakuchangia,
Ushauri wangu kwa JK jaribu kutumia wapinzani watu wako wanakuangusha utakuwa na kipindi kigumu sana 2010
asanteni