The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

Duh Mheshimiwa kapiga post mbili tangu mwaka 2006 inawezekana yuko busy sana au tumueleweje.Watani wa post moja kila baada ya miaka mitatu ahaaa aaa.
hahahahahah, itabidi tumuuliza zito, Dr. au mnyika
 
Duh Mheshimiwa kapiga post mbili tangu mwaka 2006 inawezekana yuko busy sana au tumueleweje.Watani wa post moja kila baada ya miaka mitatu ahaaa aaa.

Aliamua kukubali ushauri wa kuficha identity, kwa hiyo yuko hapa kila siku na id nyingine na ni mchangiaji mzuri sana, hata kule MMU huwa anapita.
 
mheshimiwa mbowe karibu sana ,kwa kweli jambo ni sehemu pekee ambapo hoja za msingi zinajadiliwa bila woga ,nafikiri bora sisi wengine tufiche majina ,huku nyie makamanda mtapata mambo mengi ya kuiweka sawa nchi ,ni matumaini yetu kuwa hoja ZETU HUKU ZITAPATA mbebaji.

muheshimiwa huku tuna uchungu sana na nchi yetu ,mara nyingi nakaa najiuliza tungepata hata asilimia 10% ya wananshi wawe na ufahamu kama wa wana forum ,tusingekuwa tunaletewa mikataba kama ya kina cifu mangunga,ea richmond.naomba kutoa changamoto ya kupatikana gazeti lisilohitaji faida na radio [mf butiama ] ambayo itakuwa funded ili maono kama haya yawafikie wananchi wengi wale wa vijijini ,tatizo kubwa haya magazeti mengi yanayotegemea matangazo ya serikali na hata lile RAI tuliloliamini sasa yamegeuka ya mtandao,hata lile la kwako ukitaka kuliendesha kibiashara ni vigumu kama utakuwa too critical....

la mwisho mmenisikitisha sana CHADEMA na wapinzani kwa ujumla kutokwenda mahakama ya east africa kupinga ule uchaguzi ,,,bado muda upo naomba tuitumie mahakama ile ,hii ni mara ya pili ccm kupitisha wapinzani dhaifu kumbuka ya zitto kabwe kukosa ubunge wa africa na sasa hili.

karibu sana!!!



Angalia avatar yangu we babu kanjanja halafu let's go back to the thread babu kanjanja paralegal. Naomba tuiache thread ya watu bwana paralegal.
 
Tangu nijiunge hapa JF,sijawahi kuona ID ya mh.Mbowe kama "verified user" hivyo naamini mh.huyu si member ambae ni verified.Hata kama anatumia ID fake kama sisi wengine basi anafanya kosa kubwa kwa kutokuwa na ID ambayo ni verified.

Msingi wa ushauri wangu ni kuwa yeye kama mwenyekiti wa chama chenye lengo la kushika dola huku yeye binafsi na chama chake wakiandamwa na kashifa na propaganda nyingi ana wajibu wa kujiunga ili kujibu tuhuma hizo yeye kama yeye na sio kila tuhuma au propaganda dhidi yake zikawa zinajibiwa na wasaidizi wake tu au msemaji wa chama.Kuna baadhi ya mambo anapaswa kuyatolea ufafanuzi yeye mwenyewe na si mtu mwingine yoyote.

Wadau hebu tujiulize kama Dr.Slaa asingekuwa verified user hizi tuhuma kuhusu CHADEMA hapa jamvini zingejibiwa na nani mwingine mwenye kuheshimika na kukubalika kama Dr. Slaa?Majibu binafsi ya Dr.Slaa yana uzito wake kuliko hata kama yangetolewa na afisa habari wa CHADEMA.Pia ni rahisi hata kujibu hoja mbalimbali hasa zile zenye lengo ka kuchafua chama kwa maslahi ya kisiasa ya watu wachache.

Mh.Mbowe wewe na chama chako ni kama mtafutaji hivyo mnapaswa kutumia kila mbinu kukabilianana vikwazo mkiwa safarini.

Propaganda za kwenye mitandao kama hapa JF si za kupuuzwa na chama kinachotafuta kushiks dola na hata viongozi wake.

CHADEMA mnajitahidi kujibu tuhuma nyingi ila wewe kama mwenyekiti kuna mambo mengine yanaelekezwa kwakona hivyo ni busara ukayatolea ufafanuzi wewe mwenyewe mfano kumiliki nyumba Dubai kitu ambacho si kosa na pia kumiliki fedha katika mabenki ya nje.
 
ngoma imekua nzito mpaka mwenyekiti anahitajika humu, aisee
 
Ukiona hivyo kuna ukweli anaujua na ndio maana anaogopa kujitokeza humu jamvini maana anajua fika kuwa kuna watu wengi wanamfahamu kiundani zaidi kuliko baadhi yetu tunavyomjua.Amini nawaambia Dr Slaa ni miongoni mwa Wanasiasa safi kabisa ndani ya CHADEMA na ndio maana haogopi kuja humu kujibu tuhuma mara Chadema inaposhambuliwa na kuchafuliwa na Wapinzani.Hawezi kuja kujibu tuhuma zinazomhusu na hatathubutu kamwe.I really love CHADEMA but some people within the Party are a major disappointment to us.
 
Mbowe ni moja wa member wa JF wakongwe kuliko wengi wetu humu lakini toka ajiunge ana post moja tu!
Kabla hujakomaa na Mh Mbowe ingekuwa vizuri basi ashauriwe Kinana na Mangula wajiunge tuone kama watadhubutu mwe!!!
 
Hujui kuwa Mbowe ni member wa JF.

Alikuwa ctive sana wakati yuko shule UK. Tangu aliporudi Bongo baada ya kupata taarifa kuwa Chacha Wangwe, RIP, anamake inroads kwenye ngome yake, amekuwa passive hapa JF.

Hata hivyo Mbowe ni msomaji mzuri w mijadala ya JF.
 
I really love CHADEMA but some people within the Party are a major disappointment to us.

Hao unaowaona diasappointment ndio wanaoimiliki Chadema. Chadema imeanzishwa kwa pesa za familia zao na sababu za familia zao.

Sasa hivi biashara imeanza kulipa hawawezi kukubali kutoka.
 
Kwani Mwenyekiti wenu wa CCM yuko humu kajiunga lini? Maana anahoja nyingi za kujibu hasa hili la kuwa CCM itang'oka 2015!
 
Back
Top Bottom