The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hapo naona tofali tu bibie au we unaona nn hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hello? I want to see the infrastructure unatupigia nazo kelele hapa. Where are they? This is Nakuru, is there something like this outside Dar?
View attachment 1579288
Naona umeanza kutafuta uvumi na udaku kwenye twitter, Kaaambie mturuki kwanza amalize hiyo sgr.
Walichobakiwa nacho sasa hivi ni "history" na maneno mengi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio moja now ni mbili? Kweli D-N-A inafanya kazi kwa Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha kuwasumbua na maswali, kama interchange ndio wako nazo mbili pekee in the entire country sasa elevated Highway ndio watakuwa nayo?
Halafu kelele zenyewe ni zile za chura ambazo hazimnyimi tembo (TZ) kunywa maji [emoji23][emoji23][emoji23]mkenya anapiga kelele kuliko chiriku.
Acha kuwasumbua na maswali, kama interchange ndio wako nazo mbili pekee in the entire country sasa elevated Highway ndio watakuwa nayo?
Mmejenga barabara mbili ati sasa mnataka kujilinganisha na Kenya. Hiyo mtangoja hadi yesu ashuke juu hamtawahi fikia Kenya in that sector. Anyway to cut the long story short, where are the infrastructure you were talking about?Hapo naona tofali tu bibie au we unaona nn hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wapi nilisema ni moja? Mko na interchanges mbili, not more not less.Sio moja now ni mbili? Kweli D-N-A inafanya kazi kwa Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mmejenga barabara mbili ati sasa mnataka kujilinganisha na Kenya. Hiyo mtangoja hadi yesu ashuke juu hamtawahi fikia Kenya in that sector. Anyway to cut the long story short, where are the infrastructure you were talking about?
View attachment 1579301
Hii hufanyika dunia mzima, kukiwa na land slide.Ndo hz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1579289View attachment 1579291View attachment 1579292
Kwani umemaliza kupost developments za Tanzania? Kwani ziko tatu tu?Sio moja now ni mbili? Kweli D-N-A inafanya kazi kwa Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Cku kenya itapata flyover ya kisasa km hii nalog off Jf[emoji116][emoji116]Mmejenga barabara mbili ati sasa mnataka kujilinganisha na Kenya. Hiyo mtangoja hadi yesu ashuke juu hamtawahi fikia Kenya in that sector. Anyway to cut the long story short, where are the infrastructure you were talking about?
View attachment 1579301
Uvumi na udaku kwa sababu ni kama hamjui mmomonyoko wa ardhi hutokea ki ghafla dunia mzima na watu wanarekebisha hasara hiyo. Ni ujinga na uwivu kushabikia vitu kama hizi. Nyinyi ndio wale wa kushabikia Japan ikipata earth quake.kwamba huu ni uvumi[emoji13][emoji13][emoji13]
kwanini mtu avumishie uzushi nchi yake!!!imagine maji ya bomba yamevunja barabara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
sijui yakija mafuriko yataifanya nini!!!
tukisema mmepanga matofari kwenye kifusi mnanuna.
HAHAHAHA, flyover??? Mwanaume tuko kwa elevated expressway ya 27 km wewe unasema flyover??? Unakichaaa?Cku kenya itapata flyover ya kisasa km hii nalog off Jf[emoji116][emoji116]View attachment 1579311
Tunachocheka hapa ni hii mifereji ilimaliza dollar mill ngp vilee[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Uvumi na udaku kwa sababu ni kama hamjui mmomonyoko wa ardhi hutokea ki ghafla dunia mzima na watu wanarekebisha hasara hiyo. Ni ujinga na uwivu kushabikia vitu kama hizi. Nyinyi ndio wale wa kushabikia Japan ikipata earth quake.
Iko wapi [emoji3][emoji3][emoji3]HAHAHAHA, flyover??? Mwanaume tuko kwa elevated expressway ya 27 km wewe unasema flyover??? Unakichaaa?
So Tanzania nzima ni hii barabara pekee ndio mko nayo π π π .Kuwa nchi maskini ni tabu sanaCku kenya itapata flyover ya kisasa km hii nalog off Jf[emoji116][emoji116]View attachment 1579311
Barabara ipi ss mbn hueleweki.So Tanzania nzima ni barabara pekee ndio mko nayo [emoji23] [emoji23] [emoji23] .Kuwa nchi maskini ni tabu sana