Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,786
ilikua kwnye harusi moja usiku... mdada tumekaa nae table moja nae hana kampan kama mimi ikabidi tukampaniane tukaenda mpaka over time!!!! It was remarkable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Offcourse one night stand utapiga kavu kweli?Ulitumia con.Dom....?
Nawashangaaga binadamu nyie ambao mnapenda kunyooshea vidole wenzenu as if nyie mna mkataba wa kuishi milele.Kiiiiruuuuu..... Hivi amjui saivi walio na maambukizi ya kaugonjwa ni wale waliozaliwa na kwa asilimia kubwaa... sasa shauri lenu jiaminisheni huyu ni 18age... kuendelea sasa kamma mtoto alizaliwa na maambukizi miaka ile ya 1990 akawa yuko kwenye kitengo na anasoma vzr for now wadhani utamtambua kwa kumwangalia??? Ugonjwa huu si ule wa zamani wa kupata mapunye,fangax nk huu wa siku hizi ni hbr ingine kabisa.... na uwezi mtambua mtu kwa kumtizama kwa macho!
Nilikamata mmoja nikapiga kwenye gari. Sasa hii ni one night stand auuuuu
ilikua kwnye harusi moja usiku... mdada tumekaa nae table moja nae hana kampan kama mimi ikabidi tukampaniane tukaenda mpaka over time!!!! It was remarkable
Mimi mic you kichaa wangu afu mbona hubadilishi avatar
Nyingne sijui ni 1-9t stand au ni nini but any way
Kitoch changu kinazingua banah, hakitaki kabisa kubadilisha... mith you sana
Mbona yako sijaisikia
Embu anzisha thread tukuchangie
Sijajua kama ndio hiyo inayoongelewa nimeshindwa kuandika kwa kweli
Kuna siku nilikuwa mitaa ya sinza. Nikamuona mdada 25-28yrs anafuta machozi. Its like ana tatizo or smthn. Roho ikaniuma nikamfuata nikamfuta machozi then nikampa pole. Nikamwambia whatever it is will be ok usijali. Nikarudi nilipokuwa nmekaa. After like 10mns hivi akainuka akaja kukaa nilipokuwa. Akaniomba naweza kukaa hapa. Nikamwambia bila shaka usijali. Akanieleza kuwa bf wake amemfumania na demu mwingine. Nikampa pole. Tukapiga story story kidogo then nikamwambia unapendelea nn (katika kupoteza mawazo ya the so called bf) akasema movie. Ilikuwa saa 12 tukachukua bajaj hadi mlimani tukaingia movie. Cha kushangaza akalipa kiingilio. Tukacheki movie ilivyoisha. Akaniuliza napenda nn ili nami nifurahi n iwe kama asante kwa kumpa company wakati ule mgumu. Nikamwambia twende migombani nipate angalau ndovu 2 baridi sana. Tukatembea mpaka brajec. Njiani akawa ananishika mkono. Akasema the way alivyoumia hakutegemea kama atakutana na kijana mstaarabu mwenye huruma n upendo kama mimi. Dah mtu mzima akili ikaruka fasta nikajisemea kaumia lazima nilie shida hapa who knows naweza pata hifadhi kidogo. Tukafika brajec nikaagiza ndovu yeye akaagiza zanzi. Tukapiga round 3. Nikamwambia tumalizie siku. Akasema ngoja afikirie nimpe dk kadhaa. Huku tunatoka njiani akakubali bt akasema kinga muhimu. I was like fine usijali. Tukatafuta ka hotel kazuri maeneo ya mwenge akalipa. Nikanunua vinywaji tukazama room. Shughuli ilikuwa ndefu n tamu sana. Kushtuka saa 11 tukalala kidogo saa 3 tukasepa zetu.
Sijamuona tena hadi wa leo.
Mkuu itabidi ujitathmini...ungempa kitu sawasawa angelazimisha kuchukua nambazako. Pole
wewe ni 1 in a milion hiyo kitu ni kawaida mkuu ukifikisha umri wa utu uzima kama umekula ujana vizuri lazima itatokeaKatika vitu sijatamani kufanya, na wala sitegemei kufanya ni one night stand.
Nikutane tu na mtu bila hata kumjua nivue boksa ....mmmh!