The perfect one night stand

The perfect one night stand

Kuna siku nilienda safari ya kikazi huko mkoani. Sasa boss wa hiyo taasis ambako nilienda kufanya kazi akaja kunupokea airport akiwa na dereva wake na binti yake ambaye kwa wakati huo alikuwa amemaliza chuo cha ualimu certificate.

Inaonekana walikuwa wametoka mahali. Basi tuka mpitisha boss ofisini ilikuwa kama saa 5 hivi asubuhi, then akamwambia dereva anipeleke hotelini halafu ampeleke binti home. Mimi na binti tulikaa kiti cha nyuma pale kwenye shangingi.

Kwa kuwa nilikuwa sijui ratiba ya safari nilichotaka kuhakikisha bi kumpa binti namba na mimi kupata yake.

Nikatoa business card yangu nikaipenyeza kwa chini chini na yeye akawa ameshtukia game kaichukua kwa umahiri mkubwa kaweka mfukoni.

Alivyo fika nyumbani tu kanipigia simu, nikamwambia chukua tax uje hapa hotelini. Dakika sifuri tu mtoto huyoooo kamwagika room.

Tukaendelea na yetu hadi saa 12 jioni . hatukuwahi kurudia yena game sababu ya umbali.
 
Katika vitu sijatamani kufanya, na wala sitegemei kufanya ni one night stand.
Nikutane tu na mtu bila hata kumjua nivue boksa ....mmmh!

Wengine huwa hatukosi condom hata 1 kwenye wallet...
 
Oooh yaaaa yaaa i met him kwenye meli, nkiwa naenda bukoba, tulisoma wote o'level japo aliniacha vidato viwili, alikuwa handsome ana mvuto kama pesa mcheza basket, enzi hizo skul hatukuwahi kusalimiana ye si tozi nami sista duu buyu buyu...siku hiyo tukasalimiana na kukumbusha vistori vya skuli kiaina oooh saa nane za usiku katikati ya ziwa victoria baridi kali sweta naliona kama shumizi tu afu ye ana lubega!!!!
ntaendelea kesho nmechoka kuandika.....
 
Oooh yaaaa yaaa i met him kwenye meli, nkiwa naenda bukoba, tulisoma wote o'level japo aliniacha vidato viwili, alikuwa handsome ana mvuto kama pesa mcheza basket, enzi hizo skul hatukuwahi kusalimiana ye si tozi nami sista duu buyu buyu...siku hiyo tukasalimiana na kukumbusha vistori vya skuli kiaina oooh saa nane za usiku katikati ya ziwa victoria baridi kali sweta naliona kama shumizi tu afu ye ana lubega!!!!
ntaendelea kesho nmechoka kuandika.....

Duu ndani ya meli? I can imagine jinsi ilivyokuwa sweet.
 
Hiyo ni kauli mbiu nzuri sana kiongozi, huwezi kuvua boksa kwa kila umuonae, thamani ya utu inashuka...
Japo kwa vijana wengi ni urijali kuvua vua nguo ovyo..!

Nafurah kuona wanaume wa aina hii still wana exist
 
Nimekuja kugundua business card zina tumika vibaya

asilimia kubwa ya one night stand zime fanikiwa kwasababu ya business card.
 
Nimekuja kugundua business card zina tumika vibaya

asilimia kubwa ya one night stand zime fanikiwa kwasababu ya business card.
Matumizi yake ndo hayo. Kurahisisha exchange of contact information. Bila kujali dumuni la kubadilishana hizo contact.
 
Back
Top Bottom