The perfect one night stand

The perfect one night stand

Kuna siku nilikuwa mitaa ya sinza. Nikamuona mdada 25-28yrs anafuta machozi. Its like ana tatizo or smthn. Roho ikaniuma nikamfuata nikamfuta machozi then nikampa pole. Nikamwambia whatever it is will be ok usijali. Nikarudi nilipokuwa nmekaa. After like 10mns hivi akainuka akaja kukaa nilipokuwa. Akaniomba naweza kukaa hapa. Nikamwambia bila shaka usijali. Akanieleza kuwa bf wake amemfumania na demu mwingine. Nikampa pole. Tukapiga story story kidogo then nikamwambia unapendelea nn (katika kupoteza mawazo ya the so called bf) akasema movie. Ilikuwa saa 12 tukachukua bajaj hadi mlimani tukaingia movie. Cha kushangaza akalipa kiingilio. Tukacheki movie ilivyoisha. Akaniuliza napenda nn ili nami nifurahi n iwe kama asante kwa kumpa company wakati ule mgumu. Nikamwambia twende migombani nipate angalau ndovu 2 baridi sana. Tukatembea mpaka brajec. Njiani akawa ananishika mkono. Akasema the way alivyoumia hakutegemea kama atakutana na kijana mstaarabu mwenye huruma n upendo kama mimi. Dah mtu mzima akili ikaruka fasta nikajisemea kaumia lazima nilie shida hapa who knows naweza pata hifadhi kidogo. Tukafika brajec nikaagiza ndovu yeye akaagiza zanzi. Tukapiga round 3. Nikamwambia tumalizie siku. Akasema ngoja afikirie nimpe dk kadhaa. Huku tunatoka njiani akakubali bt akasema kinga muhimu. I was like fine usijali. Tukatafuta ka hotel kazuri maeneo ya mwenge akalipa. Nikanunua vinywaji tukazama room. Shughuli ilikuwa ndefu n tamu sana. Kushtuka saa 11 tukalala kidogo saa 3 tukasepa zetu.
Sijamuona tena hadi wa leo.
duh kweli vidume mna moyo wa chuma...i can't do that hata nipewe nini aisee...!
 
Kuna siku nilikuwa mitaa ya sinza. Nikamuona mdada 25-28yrs anafuta machozi. Its like ana tatizo or smthn. Roho ikaniuma nikamfuata nikamfuta machozi then nikampa pole. Nikamwambia whatever it is will be ok usijali. Nikarudi nilipokuwa nmekaa. After like 10mns hivi akainuka akaja kukaa nilipokuwa. Akaniomba naweza kukaa hapa. Nikamwambia bila shaka usijali. Akanieleza kuwa bf wake amemfumania na demu mwingine. Nikampa pole. Tukapiga story story kidogo then nikamwambia unapendelea nn (katika kupoteza mawazo ya the so called bf) akasema movie. Ilikuwa saa 12 tukachukua bajaj hadi mlimani tukaingia movie. Cha kushangaza akalipa kiingilio. Tukacheki movie ilivyoisha. Akaniuliza napenda nn ili nami nifurahi n iwe kama asante kwa kumpa company wakati ule mgumu. Nikamwambia twende migombani nipate angalau ndovu 2 baridi sana. Tukatembea mpaka brajec. Njiani akawa ananishika mkono. Akasema the way alivyoumia hakutegemea kama atakutana na kijana mstaarabu mwenye huruma n upendo kama mimi. Dah mtu mzima akili ikaruka fasta nikajisemea kaumia lazima nilie shida hapa who knows naweza pata hifadhi kidogo. Tukafika brajec nikaagiza ndovu yeye akaagiza zanzi. Tukapiga round 3. Nikamwambia tumalizie siku. Akasema ngoja afikirie nimpe dk kadhaa. Huku tunatoka njiani akakubali bt akasema kinga muhimu. I was like fine usijali. Tukatafuta ka hotel kazuri maeneo ya mwenge akalipa. Nikanunua vinywaji tukazama room. Shughuli ilikuwa ndefu n tamu sana. Kushtuka saa 11 tukalala kidogo saa 3 tukasepa zetu.
Sijamuona tena hadi wa leo.

Kushtuka asubuhi kumbe ni ndoto
 
Mh' yaliyonikuta kwenye hiyo one night stand sitaki hata kukumbuka.
 
Ilikuwa mida ya saa 9 natoka Tukuyu kumsalimia anko narudi Mbeya mjini kwa bro nilikofikia baada ya kumaliza masomo yangu ya advance ktk mmoja ya mikoa ya kusini. Ndani ya Coaster siti niliyokaa akaja dada mmoja bila salamu akakaa; katikati ya safari simu yake ikazima na Mjini ni mgeni ila alikuwa anawasiliana na mwenyeji wake kwa simu amsubiri stendi ya kabwe. Akaomba namba simu yangu atumie back days Nokia 6100 ndo zinatoka, kufika Uyole kama utani nikamuomba tushuke kwanza kwangu nilipopanga akapaone ili kama anashida siku apitie (Ukweli palikuwa kwa bro kabla hajaoa na alikuwa kasafiri kikazi Iringa so nlikuwa sure kuwa niko peke yangu) baada ya kumuomba kidogo akakubali kushuka mpaka gheto! Kilichofuata nilipiga game tamu balaa full maufundi kama saa 11 nkahakikisha nimemfikisha Kabwe stendi mie huyoo! Alinipa namba ila nilipoachana nae tuu nkafuta hata jina silikumbuki nikionana nae leo nina hakika sitamkumbuka.
 
Kuna watu huwa hawataki kukubali ukweli na kwao kuzungumza ukweli pia ni sumu. Watu hawa huitwa wanafiki. Tabia yao ni kupenda kuonekana wema machoni pa watu.

Sure anataka huruma uyo kwa mashosti wa JF......mwanaume abakwi bwana
 
Kiiiiruuuuu..... Hivi amjui saivi walio na maambukizi ya kaugonjwa ni wale waliozaliwa na kwa asilimia kubwaa... sasa shauri lenu jiaminisheni huyu ni 18age... kuendelea sasa kamma mtoto alizaliwa na maambukizi miaka ile ya 1990 akawa yuko kwenye kitengo na anasoma vzr for now wadhani utamtambua kwa kumwangalia??? Ugonjwa huu si ule wa zamani wa kupata mapunye,fangax nk huu wa siku hizi ni hbr ingine kabisa.... na uwezi mtambua mtu kwa kumtizama kwa macho!

love more umenena ila tukiwa na nyie akili inahama
 
Back
Top Bottom