The perfect one night stand

duh kweli vidume mna moyo wa chuma...i can't do that hata nipewe nini aisee...!
 

Kushtuka asubuhi kumbe ni ndoto
 
Mh' yaliyonikuta kwenye hiyo one night stand sitaki hata kukumbuka.
 
Its a crays business doing night stand. Personally, i don't recommend doing it

Ni adventure tu. Ina raha na karaha zake. Pamoja ndo unaoata adventure.
 
Ilikuwa mida ya saa 9 natoka Tukuyu kumsalimia anko narudi Mbeya mjini kwa bro nilikofikia baada ya kumaliza masomo yangu ya advance ktk mmoja ya mikoa ya kusini. Ndani ya Coaster siti niliyokaa akaja dada mmoja bila salamu akakaa; katikati ya safari simu yake ikazima na Mjini ni mgeni ila alikuwa anawasiliana na mwenyeji wake kwa simu amsubiri stendi ya kabwe. Akaomba namba simu yangu atumie back days Nokia 6100 ndo zinatoka, kufika Uyole kama utani nikamuomba tushuke kwanza kwangu nilipopanga akapaone ili kama anashida siku apitie (Ukweli palikuwa kwa bro kabla hajaoa na alikuwa kasafiri kikazi Iringa so nlikuwa sure kuwa niko peke yangu) baada ya kumuomba kidogo akakubali kushuka mpaka gheto! Kilichofuata nilipiga game tamu balaa full maufundi kama saa 11 nkahakikisha nimemfikisha Kabwe stendi mie huyoo! Alinipa namba ila nilipoachana nae tuu nkafuta hata jina silikumbuki nikionana nae leo nina hakika sitamkumbuka.
 
Kuna watu huwa hawataki kukubali ukweli na kwao kuzungumza ukweli pia ni sumu. Watu hawa huitwa wanafiki. Tabia yao ni kupenda kuonekana wema machoni pa watu.

Sure anataka huruma uyo kwa mashosti wa JF......mwanaume abakwi bwana
 

love more umenena ila tukiwa na nyie akili inahama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…