The perfect one night stand

The perfect one night stand

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,039
Reaction score
4,889
Hebu tupieni hapa one night stand yako ambayo ilikiwa perfect ever na hutaisahau kamwe.

Yangu ni siku moja nilienda kwenye semina moshi. Ilikiwa ya wiki moja. Monday to friday. Sasa siku ya ijumaa jioni nimetoka semina naenda kuchukua funguo counter nika mkuta mdada mmoja na anaulizia vyumba.

Then akamuuliza yule counter kama kuna sehemu angepata chakula kizuri hapo jirani.

Nikadakia mazungumzo na kumweleza kuna sehemu nzuri ambayo mimi nimekuwa nikila.

Na kwamba kama hatojali basi tuongozane baada ya kama dakika 30.

Akasema poa ngoja aweke mizigo halafu aoge twende. Tuliishia kulala pamoja na tulipata fursa nzuri sana ya kupunguza genye zenu.

It was perfect.

I humbly submit.
 
Hahahaaaaa eti you humbly submit, ngoja iingizwe kwenye hansard za JF. Asante sana Muheshimiwa mbunge, hoja yako imepita bila kupingwa, wanakuja waanze kumwaga ma-experience yao
 
Mi nakumbuka siku moja nilifahamiana na dada mmoja kwenye gari, tuliposhuka ubungo ilikuwa usiku ikaonekana anakoenda kuna tabu ya usafiri and it was risky. Mwanaume nikapiga sound mi nakaa mitaa ya ubungo akakubali tupumzike ili kesho aondoke mapema. Njiani alinipa masharti kuwa kila mtu chumba chake, na hataki usumbufu, nikajibu poa.

Tulikula kabisa hotelini, hivyo kufika home ilikuwa kuoga tuu na kulala. Baada ya kuoga nikafungulia TV, nikamwuliza anapenda movie za aina gani, nikamwekea. Tukakaa kuangalia, oooh, mara ananiwekea paja mara usingizi. tukaishia kulala chumba changu and it was a nice game ctakaa nisahau.
 
Kiiiiruuuuu..... Hivi amjui saivi walio na maambukizi ya kaugonjwa ni wale waliozaliwa na kwa asilimia kubwaa... sasa shauri lenu jiaminisheni huyu ni 18age... kuendelea sasa kamma mtoto alizaliwa na maambukizi miaka ile ya 1990 akawa yuko kwenye kitengo na anasoma vzr for now wadhani utamtambua kwa kumwangalia??? Ugonjwa huu si ule wa zamani wa kupata mapunye,fangax nk huu wa siku hizi ni hbr ingine kabisa.... na uwezi mtambua mtu kwa kumtizama kwa macho!
 
Ha ha ha.. Nina rafiki yangu ya kwake hataisahau.. Maana alikutana bar na mwanamke bia ya kwanza shemeji.. Bia ya pili bwana na zilizoendelea ikawa babe.. Alivyoamka asubuhi akamuona mwanamke amelala uchi ana vidoti mwili mzima..! Alikosa amani kwa miezi mitatu mpaka alipokuwa cleared kwamba hakuwa na virusi..

Ushauri wangu haya mambo ya 1 night stand ni kawaida lakini hadhari zichukuliwe.. Don't ever do it ukiwa matingas.. otherwise utakuwa kama rafiki yangu alieokonda kwa miezi mitatu kwa ajili ya 1 night stand..
 
Nilikamata mmoja nikapiga kwenye gari. Sasa hii ni one night stand auuuuu
 
Back
Top Bottom