The Power of Letting Go....

The Power of Letting Go....

kuachana bila maumivu haiwezekani sema what happens utapima kuendelea na kuachana due to these conditions.......where weighs more?
 
Hahah we uloenda kuifukua hii thread huko ilikokuwa umenikumbusha mbali sana. Nabaki nacheka mie
 
umekua siku hizi?

HAhahah Dada Nyamayao tena nimekomaa na meno kabisa yaani nkijitizama kwenye kile kioo cha kale najicheka hadi nakaa chini. Hivi mbona mlikuwa hamnichapi viboko nyie wadada nikakua kinguvuu? Kha! Wallah
 
Last edited by a moderator:
Ku'let go IT HARRRDDD....asikwambie mtu,waliopitia wanajua,tna ya peacefully ndo ngumu zaidi cz u suffer all alone,haumpunguzii stress zako aliesababisha
kuwa busy na mambo yako mengne ya kimaisha inasidia sana,and at tyms yakikuzidi mfungukie huyooo aliekuacha mpe makavu live,yn mchane live haswaa,akikata simu,tuma txt,ht asiposoma ur relieving urself,and its good for you
mi ilinisaidia sana
 
HAhahah Dada Nyamayao tena nimekomaa na meno kabisa yaani nkijitizama kwenye kile kioo cha kale najicheka hadi nakaa chini. Hivi mbona mlikuwa hamnichapi viboko nyie wadada nikakua kinguvuu? Kha! Wallah

unafikiri bila yale maneno ungekuwa leo? yale yalikuwa viboko toshaaa, nafurahi kusikia umekua sasa!
 
hujaumia mkuu,siku ukiachwa ndo utajua maumivu yake..ha ha,sio ya kitoto

niliumia zaid yake kwasababu yeye hakujali ila mie niliumia sana. na ilikuwa hakuna jinsi zaid ya kuachana nae.
 
Dah! I have to let GO!
Japo its hard!
It is the third week now!
I loved her to the maximum! Heaven on Earth
ebu njoo hapa uniambie ulifanyaje ukalet it GO kwa yule jamaa!
 
Last edited by a moderator:
Aksante Kongosho. I think you are right mydia but nini hasa kinachotufanya tuumie jamani? Kwa nini akili inagoma kukubaliana na hali halisi? Au ndio zile hisia za ...'amenichezea hisia zangu za mapenzi' zinakuwa zimetawala?

Ni ngumu sana kuleta hisia into reality...kwa mfano unaweza kua unampenda mtu to death... ila hana namna ya kuona tofaut na kuonyesha matendo yanayoashiria anakupenda to tht extent.....

And when it comes to let it go kiroho safi lazma kuna mmoja ataumia na hasa yule ambae haon iyo kua option rather u can stil goo.....

Mara nying it works out kama mko mbal...na ukapata mtu wa kukupa kampan(a gud frend) kama mko karib na mnaonana inakua ngumu...though both ways can work out....
 
Last edited by a moderator:
Ni ngumu sana kuleta hisia into reality...kwa mfano unaweza kua unampenda mtu to death... ila hana namna ya kuona tofaut na kuonyesha matendo yanayoashiria anakupenda to tht extent.....

And when it comes to let it go kiroho safi lazma kuna mmoja ataumia na hasa yule ambae haon iyo kua option rather u can stil goo.....

Mara nying it works out kama mko mbal...na ukapata mtu wa kukupa kampan(a gud frend) kama mko karib na mnaonana inakua ngumu...though both ways can work out....

Mapenzi yanaumiza sana............ ila ukilet It go maisha yataendelea tu
 
Inaelekea humu ndani watu wengi sana ni majeruhi wa mapenzi....

Mwe...!
 
Back
Top Bottom