The Power of Letting Go....

muache taratibu co umeona dalili tuunakurupuka na msg za kibuti itakucost mana anaweza kukwambia mi mwenyewe nilikua natafuta hiyo nafasi nipumue afadhar umenirahishia....hahahaaaaaa dah. cha kufanya punguza mawasiliano nae taratibu hadi badae moyo unakua ushamtoa huyo mtu. ndo mana hata walevi na wavuta unga akiacha ghafla anaweza kupoteza maisha so mapenz nayoni km kilevi.
 

thank you sir
 

umesema hakika.
 
Kutokana na uongo mwingi na mifano mingi mioyo imeishakuwa sugu so ikitokea unakusanya kilichochako unaanza upya kwani kuanza moja si ujinga. Nimejifunza through experience kuwa kama mwenza wako kabadilika nawe unajidai bingwa wa mapenzi ya kihindi kama amitha batchan ujue huko mbele kijasho kitakutoka! nimeisha acha na kuachwa pia ila walioniacha hushangazwa na respond wangu. The essence of courage is not that your heart should not quake but no body should know it does. So hujitahidi kutoonyesha kuwa hujaumia but ndani ni lazima uumie kwani mapenzi ni kidonda kisichoonekana.
 

Imekaa kitamthiria sana can't say gayish but something like that.Card?
 
The art of letting go and how to learn to let go!
Hichi kitu kama kilivyo huwezi kukifanya out of the blue yaani siku unaempenda akuache afu ndo uanze kujifunza kumuacha aende,kiukweli hapo ni pagumu very failure itakachokuponya labda mda jinsi unavyoenda.meantime utataabika sana coz u didnt learn how to let go in the first place!
Cha kuzingatia ili mahusiano yasikucost at consequences weka uncertanity kwa huyo ulienae ht km uko rojorojo kwake.
jiwekee nafasi kwmba ipo siku ataniacha yaani click autopilot standby ndo utaweza let go when time is up
 
Hiyo naiita good break up. No uadui wala visasi, wote mnakubaliana kuwa it has to happen kwa faida ya wote.

Kinacho waumiza watu ni bad break up. Yaan out of the blue mwenzi wako anaamua tu muachane, hakuna sababu ,hakuna hint yoyote, just cold ?

Maumiv ni pale unajarib kujua whats wrong lakin hataki kukwambia, mwingine kwa kibur anakwambia nimeamua tu.
 


Haya majibu ya nimeamua tu huwa hayana mashiko. Kama mambo hayaendi mnaachana kwa amani tu no drama!
 
Katungeeeeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Natamani sana nipate hii power of letting go !! Tatizo ameanza kuniingia moyoni nimeanza kumpenda kweri kweri!![emoji6][emoji6]
 
Yaani kwanza ujue hates, MTU anakuchukua kwanza, Kwa nn Kwa sababu I gave you love and you bring drama. Mwanamke wa aina hii kwanza unamla tigo. Ukiona Nina taka tigo ujue you re stupid on earth.
Na nimekuona kummer ya watu wote waitie. Na nikijua unatombwer na Mimi natamani nikutombe na hisia ni kali sana mbo.oo inakuwa juu.

Mwanaume ameshaKuona sio kabisa. Na nikifanikiwa kukutomber mkuu.nduoil nita relax Kwa sabb najua I have gone miles for this stupid monster. Men don't have the power fu.cking letting it go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…