Ili u enjoy majamboz ni maandalizi bwana!!! Yaani unajua hata mapishi ya mchicha tu kama hujajiandaa unalipua tu!! Nakuambia kuna mtu akipika mchicha kwa maandalizi mazuri unakuwa delicious na huwezi amini ni mchicha!!! Na role ya mavituz kuwa mazuri na ya kutamanisha ni kwa kila partner kumwandaa mwenzake vizuri. Mke nawe usijivunge, poromosha love sms na simu kwa mumeo, hata kama yupo hapo sitting room wewe koki love sms tu, yaani kila siku mumeo unaye. Nawe mzee jifanye limbukeni kwa wife. Yaani jamani hizi simu za mkononi huwa zina madhara kwa watumiaji wabovu ila ni nzuri, mi naziona kama mojawapo ya mashtuzi. Suppose umepeleka kafupi kama haka"Honey, I need u 2nt!!!" hapo Bunduki hilo limekamata imara, wife huko nako hot ile mbaya, yaani ukifika tu haisubiri usiku, kama hakuna watoto wadogo wanaosumbua mchana mnatandikana on the spot. Du inanoga!!