The Remainder...

The Remainder...

*watu hua hatukubali kutake responsibily,ndo maana lawama zinakuwa kwa mtu mmoja kila mmoja wetu angekuwa anakubali hilo basi tungekuwa hata kwenye ndoa zetu matatizo yanapungua japo matatizo ni mojawapo kwenye mahusiano yetu,

unajua hata mwanamke akikuendea kinyume kuna sababu na hata kama umemsamehe japo ngozi nyeusi zetu sijawahi sikia mtu kasamehe na kaendela na maisha mapya,i mean in love,lakini wenzetu wanaweza as long as kuna sababu na kukiri kosa,huna haja ya kusema or nilisamehe lakini sijasamehe kama mtu huwezi wachana nae endelea na maisha yako huna haja ya kukaa ndani ya uhusiano kila kukicha unalalama kwa watu,jirani ndugu marafiki,inakua ni chuki bora uendelee na maisha yako.

kuwa mkweli wa nafsi itasaidia lakini ujue hata ukibadilisha kila mmoja ana kasoro zake na pengine mwingine akawa ni tatizo zaidi.

ningependa kuendela kuishi na mtu ninaemjua zaidi na kusamehe kuliko kifaa kipya nisichokijua,

I admire you positive-mental-attitude!

...hapo kwenye 'zimwi likujualo' ndipo wengi wetu tulipokwama. Mazoea yana play part kubwa sana when marriage is too good to leave, too bad to stay!
 
hata mie (mw'ume) nimesamehe lakini sijaweza/wala sitaweza kusahau. Machungu hujirudiarudia akilini mara kwa mara kila dalili za 'mavi ya kale' zinapojirudia!... ndio kusema? hata apepee na kukoleza weee, moto wangu (kwake) wala sio mkali kivile!

Sasa ndo kusema upo nae na ya nini jujiumiza roho kama huwezi kusamehe?
ukisamehe unaendelea la sivyo maisha hayaendi hivyo maana kuna sababu mtu unayofanya umsaheme mwenzio,kama mimi nilimsame mwenzangu kwa kosa kubwa na sijawahi kuzungumzia tena hapo ndio mapenzi yanakolea!la sivyo kuwa na mwenzio halafu usiwe na moto nae lazima utamuendea kinyume au nakosea wana JF?
__________________
 
hata mie (mw'ume) nimesamehe lakini sijaweza/wala sitaweza kusahau. Machungu hujirudiarudia akilini mara kwa mara kila dalili za 'mavi ya kale' zinapojirudia!... ndio kusema? hata apepee na kukoleza weee, moto wangu (kwake) wala sio mkali kivile!

Sasa ndo kusema upo nae na ya nini jujiumiza roho kama huwezi kusamehe?
ukisamehe unaendelea la sivyo maisha hayaendi hivyo maana kuna sababu mtu unayofanya umsaheme mwenzio,kama mimi nilimsame mwenzangu kwa kosa kubwa na sijawahi kuzungumzia tena hapo ndio mapenzi yanakolea!la sivyo kuwa na mwenzio halafu usiwe na moto nae lazima utamuendea kinyume au nakosea wana JF?
__________________

...ushawahi kusikia neno COMPASSION na maana yake? tafakari maana yake hata kama upana wa tafsiri yake utatofautiana na 'tafakuru' zangu. Humo (kwenye tafsiri) 'huenda' ukapata angalau nuru ya mwangaza japo kwa mbaaali.
 
ukiweka moto mkalii lazima upate mabaka kazi kwako
 
We finest kwani ile shule ya kidungu che hukupitia bana mbona unataka kuniangusha
 
Nsha pata miji hamu ya kwenda kumbamiza maam watoto na huu mkia wa kenge
Mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto kwa muda zaidi hata baada ya kumaliza kupiga pasi. Kwa wengi wetu huwa inatokea either kusahau au kujifikiria wao wenyewe. Utakuta baba akirudi toka kazini na kumkuta mkewe nyumbani humsalimia na kwenda zake chumbani kubadilisha nguo za kazini.

After that anapata chakula cha usiku (Dinner) then anaanza kutazama TV au kupitia magazeti yake na kuyasoma.

Muda wa kulala umefika anaenda kuoga na kuvaa pajama zake; mke naye anaenda kuoga na kufanya sawa na mume. Wanapanda kitandani, mume anampapasa mke, mke naya anajua mzee anataka maana ndiyo sex code yake akinigusa kwa mtindo huu maana yake anataka tuwe mwili mmoja na anajisikia kama kusumbuliwa maana alikuwa hajui kama mzee atataka kutokana na kutowasiliana hata hivyo anamkubalia.

Baada ya dakika chache wamemaliza, wapo kimya na mzee anapiga usingizi.
Mke anajiona kama ametumiwa tu kwani hakukuwa na raha yoyote ni kuumizwa tu kwani mwili haukuwa connected hisia.

Mwanaume ni rahisi kusisimka kimapenzi wakati mwanamke huhitaji kusisimuliwa. Mwanaume husisimuliwa na moja ya mlango wake wa fahamu kupitia kuona (sight) wakati mwanamke husisimuliwa kupitia milango yote mitano ya fahamu Kuguswa, kusikia, kuona, kuonja, kunusa na wororo (tenderness) wa mwanaume. Mwanaume ni mfano wa bulb ya umeme uki-switch tu mara moja inawaka wakati mwanamke ni mfano wa pasi ya umeme ambayo huchukua muda hadi ipate joto na hutumia muda zaidi to cool off.
Hii ni muhimu sana ukitaka kuwa mpenzi mzuri na mpenzi mzuri hujua na kuzingatia jinsi ya kumridhisha mwenzake.

Mwanamke anaongozwa na highway ya emotions, atajisikia vizuri sana kama alikuwa na idea kwamba kutakuwa na kuwasha pasi yake ya umeme mapema.
Itakuwaje kama wakati wa kuondoka asubuhi mume akampa mke busu la uhakika na kumnong’oneza mkewe kwamba “vipi unaonaje leo usiku ukawasha pasi mapema kwani nina hamu sana kupiga pasi nguo kwani naona bulbu yangu ina mwanga wa uhakika leo".

Nahisi mke atashinda anaweza jinsi ya kuhakikisha pasi yake inawaka chapchap usiku na ikitokea na mchana akaambiwa neon linguine mwororo inaweza kuwa jioni yenye mwako wa mahaba.

Lakini kwa wengi wetu huwa ni kinyume na hayo na ndio maana wakati mwingine ukipapasa usiku unaambiwa “baba nanii leo kichwa kinaniuma sana” au “nimechoka sana” au “unapata zero participation na kuambiwa maliza haraka” au pasi inakuwa kavu kabisa matokeo yake ni pasi inagoma kuwaka na kuanza kuumizana.

Jifunze kuwa mwanaume mwororo (tenderness) wasiliana na mke, tafuta muda wa kumsikiliza, cheka naye, cheza naye, ongea naye, mpe mgusu (touch), mkumbatie na kumbusu hata kama si wakati wa sex ni wako na ni wewe uliamua kuishi naye.

Mwanaume humtengeneza mwanamake!

Source: The Hill Of Wealth
 
acha yabadilike na watu wake na wewe una mix humo humo usikubali kuachwa nyuma watakucheka hao hao..........halafu jana walikufanya nini umepoa, mnyonge kweli
 
acha yabadilike na watu wake na wewe una mix humo humo usikubali kuachwa nyuma watakucheka hao hao..........halafu jana walikufanya nini umepoa, mnyonge kweli

Mambo mengine chauro magumu sana yaani unakua kabla ya umri wako
 
mi hayo ndo huwa nayapenda sio kila wakati kushuka milima ipande kidogo unajua hata jasho lake likiliwa linautamu wake
 
Hivi hii pasi saa zingine si inaweza kuungua?
hahah


The finest, i cant you buddy... yeah i cant you, you have unearthed a third or fourth nice threads that went into ashes

Lakini tuseme ukweli, MJ1 ni kichwa cha pekee kwenye haya mambo... isitamwelewa mwanaume atakayeshindwa kuelewana na huyu dada

Dah!!:redfaces:
 
message sent mwenye macho haambiwi ona................................
 
hahah


The finest, i cant you buddy... yeah i cant you, you have unearthed a third or fourth nice threads that went into ashes

Lakini tuseme ukweli, MJ1 ni kichwa cha pekee kwenye haya mambo... isitamwelewa mwanaume atakayeshindwa kuelewana na huyu dada

Dah!!:redfaces:

Practical na theory ni vitu viwili tofauti sana!
 
MJ1 mbona kuna posture nyingi tu zinazompatia mwanamke control na anamaliza mapema tu kabla ya
mmbaba. Ukiwa unaachwa kila siku there is something wrong with you au mvivu! Halafu mkiingia ndani
tu ndio haya matatizo yaanaza way? au ndio kushika usukanu. Siwatetei ila I just want to challenge ladies
especially kwenye communication, yaani mnatufanya kama wake zetu ni mabubu vile, are u bubu MJ1?
 
Mfamaji wewe na Shingo mnanifanya nisiamini kuwa kuna special sehemu ambazo mtu akishikwa na kutekenywa basi anasisimuka! Sasa kwa nini wanasema eti umsome vizuri mwenzio ili ujue akishikwa wapi ndo drive buttons zake? Hayo mambo ya what turns her/him on au ni languages tu?
Hizi lugha za kuuza magazeti tu! kina shangazi waliokufunda hawakuyasoma haya na mambo walikuwa wanayajua vizuri tu. ............
 
weweee Nyamayao mi kuna kitu kimoja nilikipata kilikuwa hakitaki kuguswa..nikimshika mewata anatoa mkono heeee nikishika kiuno balaaaa nikizama kwenye ugonjwa wangu napigwa kiwiko na teke juu hataki haaaa nikataka kuzama uvinza nikajua atapendelea labda nikala goti mtumee basi nikajua huyu hataki...nikazama hivyo hivyo aaaaaaaah katulia tuli.

Nasikia wengi wakishaingia ndani hii hali ya kusukuma mikono, viwiko, sijui vipensi ni kawaida!
 
hahah


The finest, i cant you buddy... yeah i cant you, you have unearthed a third or fourth nice threads that went into ashes

Lakini tuseme ukweli, MJ1 ni kichwa cha pekee kwenye haya mambo... isitamwelewa mwanaume atakayeshindwa kuelewana na huyu dada

Dah!!:redfaces:

Ha ha buddy you know nimeisoma hii thread nikamfikiria sana huyu mjukuu well ana point ya msingi sana
 
Back
Top Bottom