The Remainder...

Mfamaji wewe na Shingo mnanifanya nisiamini kuwa kuna special sehemu ambazo mtu akishikwa na kutekenywa basi anasisimuka! Sasa kwa nini wanasema eti umsome vizuri mwenzio ili ujue akishikwa wapi ndo drive buttons zake? Hayo mambo ya what turns her/him on au ni languages tu?
 
Ukirudi jioni wakati unamwandaa gusa TG uone very sensitive kama hajaruka na kudondoka chini kwi kwi kwi kwi.

Fidel haya mbona kuna wanaosema mwanaume ni marufuku kumgusa TiGo?
 
Ngoja nikajaribu leo, nikipigwa Fidel nakulaumu wewe lol
 

Sioni kuna sehemu ambayo ni special. Siamini. Ni muda na mindset ya mtu muda huo. Huwa wanawake wanabadilika badilika kutokana na alivyo siku hiyo. Wanawake wengi (kama si wote) ni kama weather. Forecast kama hizo huwa ni very unreliable although sometimes inakuwa kweli.
 
Kama ni mwanaume na umeshaishi na mwanamke continuously kwa muda wa miaka kama kumi hivi au zaidi, you know what I'm saying.

Men are consistent, wakiona wanataka, kama hataki baada ya kuona basi hataki. Nothing more. Nothing less.

Ukiona mwanaume eti mpaka asukumwe, ujue he is forcing. He is not in a mood.

Kwa mwanamke it is a different story altogether. You can't guess!!
 

Kila mtu - mwanaume au mwanamke ni tofauti - hivyo huwezi kuwa na tiba moja kwa kila mtu.Cha msingi kila mtu amjue mtu wake na ajue kwenye situation fulani ana behave vipi.

Response ya mtu inategemea mambo mengi
- uhusiano wenu kwa wakati ule ukoje - je mna mambo ambayo hamjayamaliza kama ugomvi? ( its being used to show kuwa mnataka amani na kumaliza ugomvi)
- hali ya kiafya - kimwili na kisaikolojia - ukiwa mgonjwa au una msongo wa mawazo
- mazingira mliyomo - usafi, utulivu, usalama etc
- maandalizi mengine ya wakati huo ( chakula, kinywaji, music etc) e.g huwezi kuwa na njaa halafu mwenzio ategemee utafurahia
-utulivu wa mawazo - akili imetulia au kuna fikra nyingine - unawaza mambo ya kazini, biashara etc
 

sehemu za kuturn on ni languages nathani. Ila wakati wa mchakamchaka kuna wengine ukigusa sehemu fulani anacome haraka zaidi. Sehemu zenyewe ni different from one to another kama wao wenyewe walivyo different. Wengine ni chuchu,wengine ni buttocks, wengine ni nyuma ya goti sijui panaitwaje hapo penye vishimo vya kiungo cha goti na mguu nk.

Zamani wa kwangu alikuwa anan'gang'aniaga kuingiza liulimi lake masikoni mwangu akidhani napata raha zaidi kumbe alikuwa ananiboa. Nikasema STOP ile ya kigentleman
 
Last edited:

Good subs,

So this proves how complex the equation is. Kuna so many variables ambazo wakati mwingine huwezi ku-guess. Kwa mfano how do you know leo mkeo kagombana na co-worker ndo maana hayuko ready!

For men it is eesy, ukiiona tu, you forget everything. Yenyewe ndo inakuwa priority at that time. That's why wengine mnasema wanaume ni wahuni eee!!!
 
xactly!
Wapo pia wanawake wenye kujaaliwa kuwakisha pasi zao papo kwa papo wamuonapo mwandani! Ila hawa ni wachache.
 
xactly!
Wapo pia wanawake wenye kujaaliwa kuwakisha pasi zao papo kwa papo wamuonapo mwandani! Ila hawa ni wachache.

Yeah I know, ila kwa wanawake I think it is minute proportion. I mean sijaonana na wanawake wote. Ila wale wachache ambao nimebahatika kuhusiana nao, .. yeah it was a problem.

But wait a moment!! Hata huyu wa leo zamani was fast and you know sometimes she would tell me she is salivating for me. But years down the road, it is back to square one!!!

Bad ....... women change for worse, men hardly change at all and this annoys women or am I too critical of women?
 
MJ1 - your thread is educative - UKIANZISHA DARASA LA NDOA - NYINGI ZITAPONA - NA UTAKUWA MWALIMU MZURI KWANI UNAJUA KUTAFUTA MATERIALS

Imekaa hivi: KUTAYARISHANA NI ROLE YA WOTE - WANANDOA TUACHE AIBU - MKE AKIMHITAJI MUMEWE BASI AMWANDAE na MUME AKIMHITAJI MKEWE AMWANDAE PIA -vipi kule kijijini lakini - umekula mlo mmoja, njaa, pesa hamna, maji ya kutafuta - hivi MNAANDANA VIPI??
 

Wear and tear kwenye relationships.Mwanzoni mapenzi yapo tele,hamjaudhiana na kukasirishana vya kutosha hivyo hana kitu cha kumfanya akuangalie na kukufikiria vingine.

Mkishakaa sana, kuna maudhi ya hapa na pale,maumivu ya moyo na mengine hata kama mwanamke anasamehe lakini mjue hasahau na haya machungu hujirudiarudia akilini mara kwa mara na ndiyo maana anaweza akakukataa hata pale hutarajii.Ndipo muone kuwa kusamehe kwa mwanamke siyo bila gharama.Kutokusahau ndo kunaji reflect kwenye hili suala na utajitahidi kupepea na kukoleza weee lakini moto hauwaki kamwe! Hata ukiwaka moto wake siyo mkali kivile!
 

i wish asome mwafulani hapa.

Ni kweli kabisa dada moyo ukishauzeesha kwa maudhi ya mara kwa mara kuukunjua huwa ni tabu na hata ukikunjuka basi marinda yake hayaishi kabisa , hauwezi kurudia ujana wake na ndipo pale mnabaki kusema wanabadilika wakishaolewa au mwanzoni hakuwa hivi. Ukumbuke kuwa wakati wa uchumba hata ninyi makucha yenu huyaficha kama ni ukali huwa mnakuwanao wa kificho ila ukishaoa ah mtemi wewe, mkorofi wewe na wengine hufikia hata hatua ya kuwapiga wake zao mara kwa mara sasa moyo ukizeeka unaanza kulalama eti hukuwa hivyo wakati wa uchumba!!
 

mambo ya 'kuwasha na kukoleza' hayajali jinsia dada'angu weh!

...hata mie (mw'ume) nimesamehe lakini sijaweza/wala sitaweza kusahau. Machungu hujirudiarudia akilini mara kwa mara kila dalili za 'mavi ya kale' zinapojirudia!... ndio kusema? hata apepee na kukoleza weee, moto wangu (kwake) wala sio mkali kivile! 🙂
 
nimeipenda hiyo women,mwanzoni mapenzi motomoto baadae mambo meengi,mbaya zaidi lawama zote tunawatupia wanawake,oh yeye ndo alikosa hufikirii sababu ya yeye kwan nini alikosea mkayamaliza mahusiano yanazidi kutumbukia shimoni inabakia lawama kwa mtu mmoja huku waume tukijisafisha!tuangalie pande zote!
 
Wapendwa!
Yaani! Sasa tunaingia kwenye crux of the matter!

Jamani!Ukali,maudhi ya mara kwa mara na vipigo ndo kabisaaa sumu ya penzi.Mwanaume anayepiga mke asijidanganye.Anajipotezea heshima moja kwa moja, na sitarajie muujiza kwenye mahusiano yake na mkewe.


Kweli ni kwa wote...

Umekomelea msumari wa mwisho kabisa.Lawama! Kwanini mtu asione " we are in this together..I am wrong, I take responsibility?
Tujifunze jamani.Labda kama hatutaki kubadilika na kufurahia mahusiano yetu.Na hii itajirudia tu hata uoe au uolewe mara mia!
 
...Lawama! Kwanini mtu asione " we are in this together..I am wrong, I take responsibility?
Tujifunze jamani.Labda kama hatutaki kubadilika na kufurahia mahusiano yetu.Na hii itajirudia tu hata uoe au uolewe mara mia!

...'lawama' ni part ya maisha ya ndoa (kupunguzia stress). Asilimia kubwa ya wanaojiua kwa 'usongo wa mawazo' pia ni kwasababu ya upweke (hajaoa/hawajaolewa.)
 
Umekomelea msumari wa mwisho kabisa.Lawama! Kwanini mtu asione " we are in this together..I am wrong, I take responsibility?
Tujifunze jamani.Labda kama hatutaki kubadilika na kufurahia mahusiano yetu.Na hii itajirudia tu hata uoe au uolewe mara mia

*watu hua hatukubali kutake responsibily,ndo maana lawama zinakuwa kwa mtu mmoja kila mmoja wetu angekuwa anakubali hilo basi tungekuwa hata kwenye ndoa zetu matatizo yanapungua japo matatizo ni mojawapo kwenye mahusiano yetu,

unajua hata mwanamke akikuendea kinyume kuna sababu na hata kama umemsamehe japo ngozi nyeusi zetu sijawahi sikia mtu kasamehe na kaendela na maisha mapya,i mean in love,lakini wenzetu wanaweza as long as kuna sababu na kukiri kosa,huna haja ya kusema or nilisamehe lakini sijasamehe kama mtu huwezi wachana nae endelea na maisha yako huna haja ya kukaa ndani ya uhusiano kila kukicha unalalama kwa watu,jirani ndugu marafiki,inakua ni chuki bora uendelee na maisha yako.

kuwa mkweli wa nafsi itasaidia lakini ujue hata ukibadilisha kila mmoja ana kasoro zake na pengine mwingine akawa ni tatizo zaidi.

ningependa kuendela kuishi na mtu ninaemjua zaidi na kusamehe kuliko kifaa kipya nisichokijua,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…