The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Kelele zako hapa hazibadilishi kitu rwanda we endelea kupoteza muda tu Proudly Rwandese na nyie mkaibe Kongo mbona mna jeshi lenu kule.Amani na umaskini .????? makinikia mshalipwa bro .??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Oya ebu ukiona wanaume wanajadili mambo uache kuingiza oja zako za ki...cho....ko
 
Ni tag na mimi sehemu ijayo
 
Ukiachana na ile thread ya Plata o Plomo ilonifanya nimfahamu Pablo Emilio Escobar Gaviria na nikadownload series ya Narcos ili kujithibitishia kupitia Mkuu The Bold ama Habibu B. Anga, nadiriki kusema hii thread ni bora kabisaaaaaa kuliko ya Plata o Plomo.
 
chukua soda ya baridi au dubois moja...ntalipa joh
 
Unitag na mimi!
 
Nalisubiri Povu la WATZ juu ya Kagame na Rwanda Jiandae mzee baba. Kwenye hii stori namwona kwa mbaali James Kabarebe The mastermind The Man himself Baba mkuu pale Kigali.

Kumbe hata majukwaa ya kawaida huwa unakuja, nimezoea kukuona kuleeeeee bondeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…