Ungejua The Bold alivyo rafiki angu hapa JF usiandika mavi haya Halafu Tz mna lipi mpaka tuje kuwapeleleza .????We ndo mnyarwanda uliyekuja tz kutafta kazi? Nadhani tayari mshafanyia kazi huyu Hanga.
Habibu B. Anga
✅
Verified User
Last seen Tuesday at 11:10 PM
Mkuu movie yake ipo moja niliona inaitwa Mulder in KinshasaYaan huu uzi unavofatiliwa kwa makini,Ingekuwa ni movi inaonyeshwa theater pasingetosha .
Hawakawii aise.wapo humu wanachungulia tuuuMimi nina hofu na hii story kama itafika mwisho maana utasikia ooh inaharibu mahusiano ya kidiplomasia wakati kinachoongelewa ni ukweli. Shusha nondo mfululizo bold ili kipindi wanaipiga ban tushaimaliza.
Unapigwa naoThe bold wakomeshe wakomeshe tu mpaka wakasome kwenye encyclopedia umewazoeza vibaya kuwatafunia 😀😀😀 Lazima tuheshimiane
Amepewa Ukatibu Tawala wa wilaya tayari... hawezi kuendelea NA STORY hii.....Nucta.Habibu B. Anga Mkuu bora ungekuwa unaandika yote kisha ndio unatuletea. Kutusubirisha namna hii
Halafu sijaelewa kabla ujafungua hii thread kuna pin nyekundu na jicho ambalo ukipont cursor kwenye jicho inaonyesha "thread watched" maanake ni nini? mbona thread nyingine hazina hilo jicho?Amepewa Ukatibu Tawala wa wilaya tayari... hawezi kuendelea NA STORY hii.....Nucta.
Mkuu inakuongezea chochote asipopost? Tatizo letu ngozi nyeusi ukiwa karibu na MTU maarufu basi unaanza fitina kwa wengine. Haipendezi hata kidogo.The bold wakomeshe wakomeshe tu mpaka wakasome kwenye encyclopedia umewazoeza vibaya kuwatafunia [emoji3][emoji3][emoji3] Lazima tuheshimiane
Shukran naitafuta fasta ili nichanganye mautamu.Mkuu movie yake ipo moja niliona inaitwa Mulder in Kinshasa
Mkuu nsomba uni Add kwenye list ya TaggMkuu The Bold, kama hutojali naomba uniadd kwenye list ya unaowatag kwenye simulizi zako... username mossad 03