The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

We ndo mnyarwanda uliyekuja tz kutafta kazi? Nadhani tayari mshafanyia kazi huyu Hanga.

Habibu B. Anga



Verified User
Last seen Tuesday at 11:10 PM
Ungejua The Bold alivyo rafiki angu hapa JF usiandika mavi haya Halafu Tz mna lipi mpaka tuje kuwapeleleza .????
 
Mimi nina hofu na hii story kama itafika mwisho maana utasikia ooh inaharibu mahusiano ya kidiplomasia wakati kinachoongelewa ni ukweli. Shusha nondo mfululizo bold ili kipindi wanaipiga ban tushaimaliza.
Hawakawii aise.wapo humu wanachungulia tuuu
 
Duuuuh hii stori kali sana haipiti siku kuangalia kama imeendelezwa. Sijui kama plata O plomo na nyenzake kama zitafikia hizi level kinachovutia zaidi ni hizo picha Comeback The Bold
 
Amepewa Ukatibu Tawala wa wilaya tayari... hawezi kuendelea NA STORY hii.....Nucta.
Halafu sijaelewa kabla ujafungua hii thread kuna pin nyekundu na jicho ambalo ukipont cursor kwenye jicho inaonyesha "thread watched" maanake ni nini? mbona thread nyingine hazina hilo jicho?
 
Naomba ni add humu na kwenye group lako la whasap la hadithi
 
Nahisi kuna tatizo hapa. Mbona huu uzi hauendelei aisee. Au jamaa kapigwa mkwara
 
Back
Top Bottom