Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona hiyo,wanadai alikuwa akihojiwa na Aljazeera.Kulikuwa na conflicting news.Nyingine zikisema mtoto huyo anahojiwa na Aljazeera na nyingine zikidai kakamwatwa wakati akihojiwa.naona breaking news ktk cnn kwa al saif amekamatwa na waasi.kama hiyo habari itakua ni kweli basi utawala wa gadhafi umebakiza siku chache.
Sky News nao wameandika kuhusu hili!Kwa mujibu wa CNN,magaidi wamemkamata mtoto wa Gaddafi wakati akihojiwa na Ajazeera kama sikosei.
Kwa mujibu wa CNN,magaidi wamemkamata mtoto wa Gaddafi wakati akihojiwa na Ajazeera kama sikosei.
<br />Kwa mujibu wa CNN,magaidi wamemkamata mtoto wa Gaddafi wakati akihojiwa na Ajazeera kama sikosei.
<br />huyu wa pili wanaye sema amekamatwa ni saadi gadhafi.
Al Arabiya TV. The Rebel Council has just confirmed to this report as well.