The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Naona Askari Kanzu atakuwa amefurahi sasa maana "Libya sasa iko huru", "demokrasia" itakuja, walibya watakuwa na uhuru wa "kuzungumza","kulaumu serikali", na "kuchagua" mtu wamtakae!!!!, na nchi iko "better off without Ghadafi". kweli wenye roho ngumu ya kupambana kama Mtemi Mkwawa ni wachache, na watu wanaweza kuwa brainwashed wakawauza utumwani watu wao kwa shanga ni wengi!
 

Tuko utumwani. Miziki yakwao, michezo ya kwao, siasa za kwao, madini ya kwao, na watu wa kwao. Basi bwana bado kuanzwa kucharazwa fimbo.
 
Wacha hizo, unajifanya wewe ndo "mwanamapinduzi wa kweli" sio? Kama ni hivyo kwa nini basi huwezi kutukomboa watanzania kama kweli wewe ni "mwanamapinduzi"? Maneno mengiii lakini vitendo zero. Watu kama wewe wapo wengi tu, na mie nawaogopeni nyie ka ukoma!
 
Tuko utumwani. Miziki yakwao, michezo ya kwao, siasa za kwao, madini ya kwao, na watu wa kwao. Basi bwana bado kuanzwa kucharazwa fimbo.
Na kweli ukiendelea kukaa na kulalamika kama ufanyavyo hizo fimbo utacharazwa tu!
 
Na kweli ukiendelea kukaa na kulalamika kama ufanyavyo hizo fimbo utacharazwa tu!

Problem kubwa ya Askari kanzu unafikiria kuwa matatizo yako uliyonayo yatatuliwa na NATO au kwa wingu la mabadiliko kama ya Huko kaskazini. Lazima utambue kuwa unatakiwa kufikiri kimataifa zaidi kuliko kinyumbani. mathalani tanzania ya leo amabayo ina matatizo mengi isitaraji kuwa itayaepa kwa kuingiza chama pinzani madarakani pasipo watu kujua nini mataifa ya nje yanamipango. Hivi hujasikia CDM wakisema kuwa tutasemelea nchi za magharibi ili wawatoe CCM madarakani mpaka ikazusha mjadala?. Yawezekana una uchungu sana na nchi yako lakini kaa ukitanbua kuwa tatizo la viongozi wetu wa tanzania linatokana na upeo wao mdogo wa kujua western wanaleno gani na maish ya watanzania. Sera nyingi uzionazo ambazo hazikufurahishi ni matokeo ya mikataba tuingiayo kila siku bila kufikiri na kujua kuwa inatuumiza hapo baadae. Wao wanatumia utandawazi kutulemaza na kutufunga macho ili tuone wale wateteao rasilimali za nchi zao ni wabaya. katu haitaotokea western waku favour wewe mwafrika kwani wewe ni mtumwa kwao. Waweza ukawa una mitazamo ya Kuoinga ugaidi duniani na Libya kudondoka kwake ukafikiri kuwa basi utapungua. The big technique ya kupata fursa ni kuvuruga any power ambayo yaweza kuwa threat kwa matakwa yao ya kiuchumi. gadafi alikuwa anaelekea kuwa tishio kwa western kwa kuweza kuikingia afrika kifua kupitia AU kutoa misaada mikubwa kwa baadhi ya nchi za afrika ambazo after sometime vurerability ya rasilimali zao ingepungua, kufisha mpango wa afrika kuwa na lugha moja kimataifa kuwa na sauti katika maamuzi mbalimbali yahusuyoo Afrika. Lazima utambue kuwa Tanzania ya leo ipo hivi baada ya kukubali mashaerti ya WB na IMF kubinafusha mali ili waweze kuja kuzichota na kupeleka kwao ambapo watasupport misaada yote Tanzania na nyie kutoa misaada. Libya ilikataa hilo licha ya vikwazo na hali ngumu waliyopewa hapo mwanzo. Ukitaka tanzania ibadilike lazima tuache kufikiri juu ya kutatuliwa matatizo na kujua kuyatatua wenyewe. Tutaendelea kushangilia anasa wakati wao wanachota rasilimali. MTAZAMO WA KUIKOMBOA NCHI YAKO UPO SAWA LAKINI UTAMBUE TUKO HIVI KWA MANUFAA YA KWAO.
 
\

Akari kanzu''
Na ukombozi wa mtanzania na wa kifrikra wala si wa kirasiliamli kwani utalindaje rasilimali zako iwapo waweza rubuniwa kirahisi. Vitendo unavyodai vyaweza ni vya kutafuta demokrasia kwa njia ya damu. lakini kama wewe ni pionner wa maendeleo jaribu kubadili fikra za watu. Mi kama nipo madarakani nitakupa shida mwisho wa siku nitakupa halalai yako kama msaada na utafurahi nakuona mi wa maana sana. Nitakupumbaza na kujiona hufai mi ndio nafaa ili nikutawale. Niatweka mfumo mbaya wa elimu ili watu wafikiri kuajiliwa si kujiajiri. Nitawafanay watu wapende kupata pesa bila kuzitafuta. Nitawaambia kuomba si umaskinibali ni tabia ya ulimwengu. Nitawafanya muwanyenyekee mabwana zenu hata kama wanawatukana. Mtakuw waoga daima. nitapenyeza fikra hasi ili muone wazungu ni wamaana na wanapenda sana ili niendelee tawala.
 
Kidzude, nadhani nitakuwa napoteza muda wangu kubishana na "mtaalam mwenye uerevu wa juu" wa maswala ya Africa ka wewe!
 
Kiongozi wa Libya Muarmar Ghadaffi kasema kwamba amehama kutoka kwenye makazi yake ya Tripoli kama 'tactical move'. Kwa sasa hakuna anayejua sehemu alipo sasa na police wamezunguka makazi yake ya Tripoli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…