The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Odinga anajaribu ku thibitisha kuwa ICC ipo sawa na maovu yake yote wakati wa uchaguzi. Yupo tayari kuyakabili si maovu yeye mwenyewe si kusucrifice vidagaa. Alikuwa wapi muda wote kama si unafiki. Hivi Askarikanzu hujaona post ya Gamba la Nyoka. Naomba kwa Heshima ya JF naomba ubatilishe kila sentesi ambayo si ya kweli.
Kama unajuia kiinglish hebu pinga haya maneno ya Odinga, sentensi baada ya sentensi na kwa ueledi:

1. "A good general should know when the game is up,"

2. ...bittersweet moment because while they (rebels) had achieved freedom they had done so largely with the support of Western powers.

3.
"This is a triumph and a tragedy for Africa."

4.
The European Union would never have let things escalate to this level among any of its members.

5. Because the African Union refused to act the people of Libya had no choice but to ask for external support.

Sasa hebu chambua hizo sentensi halafu lete ubishi wako (kwa kutumia hoja na sio vioja)! Hakuna haja ya kumshambulia Askari Kanzu wakati maneno ni ya Odinga.
 
Kama unajuia kiinglish hebu pinga haya maneno ya Odinga, sentensi baada ya sentensi na kwa ueledi:

1. "A good general should know when the game is up,"

2. ...bittersweet moment because while they (rebels) had achieved freedom they had done so largely with the support of Western powers.

3.
"This is a triumph and a tragedy for Africa."

4.
The European Union would never have let things escalate to this level among any of its members.

5. Because the African Union refused to act the people of Libya had no choice but to ask for external support.

Sasa hebu chambua hizo sentensi halafu lete ubishi wako (kwa kutumia hoja na sio vioja)! Hakuna haja ya kumshambulia Askari Kanzu wakati maneno ni ya Odinga.
Rungu wape vidonge vyao na tuone kama watameza!
 
Alikuwa wapi siku zote kama anawatambua Rebels? . Jibu kwanza hapo then ya gamba la nyoka.

Unajua katika maisha ukikosa credibility basi ujue lolote usemalo watu watakuona unapayuka tu. Kwa hiyo viongozi wote under AU si credible na wamekwa impaired independence yao kwa vimsaada?.
 
Vipi, unashindwa kuzichambua pointi za Odinga?

Kaongea point kwa muda usio muafaka?. Kakata tamaa angesema mwezi wa pili kama wewe tungemuona wa maana. Yaani wewe ni jembe kusimamia kitu chako watu kama wewe ndio nawataka.
 
Mwisho wake Mi naona kama haitaishia pazuri.

Yaani Gadafi twaweza msahau lakini tuangalie faida ya gadafi na hasara katika afrika. Wote humu ndani twalia kwa sababu ya shida za nchi zetu kutokana na viongozi wa afrika. Na wengine walia na ubeberu ambao waweza kuwa chanzo cha sisi kutokuwa na serikali nzur hata kama hazing'ang'anii madaraka. uchaguzi ni wetu . katu tusitegemee viongozi wazee wanatihika na NATO kama tayari n vibaraka wao wala viongozi wakaao muda mfupi wataleta maendeleo kwa shinikizo la NATO. Cha msingi ni kujua western political game ili tujue ni jinsi gani ya kujiposition.
 
Kaongea point kwa muda usio muafaka?. Kakata tamaa angesema mwezi wa pili kama wewe tungemuona wa maana. Yaani wewe ni jembe kusimamia kitu chako watu kama wewe ndio nawataka.
Sawa Mkuu, nadhani kuna "wanamapinduzi" flani humu jamvini wanafikiri sina uchungu na bara la Africa eti kwa sababu simsapoti Gaddafi na utawala wake uliopitwa na wakati. Nilishasema huko mwanzoni, nimemfuatilia kamanda tangu alipochukua madaraka 1969 (sababu nilikuwa sekondari wakati huo, Mwenge Singida). Vile vile hata baada ya vita vya Iddi Amin bado jamaa nilikuwa namkubali lakini hili kasheshe lilipomfikia na yeye akaamua kuwa mbishi na kuanza kuwauwa raia wake basi nilijua sasa amechemsha. Kwa hiyo simwonei huruma kusema za kweli, ingawa vita hivi vimeiharibu Libya kwa muda mrefu ufuatao. Bado namlaumu Gaddafi kwa ubishi wake usio na mpango!
 
Aliishi kifisadi lakini pia alijali wananchi wake: namsikitikia hakusoma alama za nyakati angewaachia nchi huenda leo angekuwa na maisha mapya japo si ya heshima yake

kwa kweli kwa hili naona wamemuonea tu-janja ya wazungu hii.wanatamani utajiri alionao. mi nafikiri, ni bora hapa kwetu tungempata rais kama huyu-anakula, ndiyo lakini wananchi wake wako saaaafi. Anaendeleza nchi yake na wannchi wake, sio wa kwetu wanakimbiza 'vijisenti' nje.nawahurumia Libya, watakuwa kama Iraq
 
It looks like these rebels had a field day inside that mansion or whatchamacallit....
 
tusubiri natuione kila mtu atataka na yeye ale nyama hapo ndipo kazi itakapokuwepo
 
&quot;.....Corinthia hotel grounds around 2pm today friday&quot;<br />
Dah, narudi darasani kwanza nikasome ramani! Hivi Libya imehamia mashariki ya Tz kiasi cha kuwa mbele kwa masaa mengi hivo?!
<br />
<br />
bora mkuu umeöngea maana hata mimi nina mashaka
 
mbona tunadanganywa sana sie wagema ulimbo kila kukicha ni UONGO kwa kwenda mbele piganeni mkichoka pumzikeni wapuuzi sana nyie mnaorusha propaganda zenu zisizo na mbele wala nyuma
 
mi nilifikiri hao jamaa wako mbali sana na Tripoli kumbe loh! kumbe mdomo na pua...! Gaddafi kweli ana kazi!
 
British Tornado jets fired precision-guided missiles against a large bunker in Libyan leader Col Muammar Gaddafi's hometown of Sirte, the UK Ministry of Defence (MoD) has said.
The Tornadoes took off from RAF Marham in Norfolk on a long-range strike mission on Thursday night.
Libyan rebels are also building up their forces on the road to Sirte, sending tanks and rocket launchers.
Rebel leaders have appealed to foreign governments to unfreeze Libyan funds.
The UN has already agreed to release $1.5bn (£1bn) in Libyan assets - which had been frozen under sanctions - to help with immediate humanitarian needs.
Closing in In a statement, the MoD said "a formation of Tornado GR4s... fired a salvo of Storm Shadow precision-guided missiles against a large headquarters bunker" in Sirte.
The bunker housed a command and control centre. There is no indication that Col Gaddafi was in Sirte or in the bunker itself at the time of the attack.

"It's not a question of finding Gaddafi, it's ensuring the regime does not have the capability to continue waging war against its own people," Defence Secretary Liam Fox told the BBC.
"The attack that we launched on the bunker in Sirte last night was to make sure that there was no alternative command and control should the regime try to leave Tripoli."
 
sawa mkuu, nadhani kuna "wanamapinduzi" flani humu jamvini wanafikiri sina uchungu na bara la africa eti kwa sababu simsapoti gaddafi na utawala wake uliopitwa na wakati. Nilishasema huko mwanzoni, nimemfuatilia kamanda tangu alipochukua madaraka 1969 (sababu nilikuwa sekondari wakati huo, mwenge singida). Vile vile hata baada ya vita vya iddi amin bado jamaa nilikuwa namkubali lakini hili kasheshe lilipomfikia na yeye akaamua kuwa mbishi na kuanza kuwauwa raia wake basi nilijua sasa amechemsha. Kwa hiyo simwonei huruma kusema za kweli, ingawa vita hivi vimeiharibu libya kwa muda mrefu ufuatao. Bado namlaumu gaddafi kwa ubishi wake usio na mpango!

hivi mkuu bado unaamini, ghadafi aliwaua waandamanaji kwa ndege za kijeshi?. Kweli aljazeera wamelisuka na zengwe na wamewaconvice wengi.

Hivi wewe unaamini maneno ya ocampo kwamba Ghadafi aliwapa wanajeshi wake viagra ili wawabake wanawake wanaompinga?

Hebu wewe jiweke katika viatu vya ghadafi then utwambie:, ghadafi alisema anapambana na alqaeda, na extremists, mwanzoni watu walimpuuza, lakini leo hii tunakubali kwamba kumbe kweli alqaeda wamo, je ungekuwa wewe ni amiri jeshi mkuu wa majeshi ya libya ungeacha nchi itekwe na alqaeda au ungepambana nao?

Hebu jivike joho kidogo la ghadafi kama kiongozi wa nchi unayeona kwa uwazi kabisa kwamba nchi yako inavamiwa makusudi kabisa ili kucontrol mafuta ya nchi yako, utasurrender, na kuwaacha wafanye wanavyotaka?.

Mkubwa, wewe ungekuwa na option gani, pale ambapo unakuwa umekubali ceasefire mara kibao lakini adui hataki?, utafanya nini?.

Najua jibu lako lepesi ni "ningejiuzulu", lakini je kujiuzulu kwako kungezuia wavamizi kutimiza lengo lao la kuidhulumu nchi?
 
Hao waasi nao inaonekana wanatamani maisha aliyokuwa akiishi Gadafi..

kweli kabisa, sasa kinachofuata hapa ngoja waanze kuchinjana wao kwa wao wakigombea nani ashike madaraka huku wanafiki wakizungu wakijibebea mafuta kiulaiiiini!!! namaliza hivi ~ WALIBYA NDO WALIVYO...
 
Back
Top Bottom