Nonda,
Kwetu si wabongo bado tupo Gizani. hasira za umaskini wenu tunadhani zinaletwa na maraisi wetu kumbe ni uwezo wetu mdogo wakujua dunia yaendeshwaje. Hizi democrazy hata USA hazifanyi kazi, katika chaguzi zao kura ya mwananchi wa kawaida ila uzito gani ukilinganisha na wale masenator>?
Kwetu si wabongo bado tupo Gizani. hasira za umaskini wenu tunadhani zinaletwa na maraisi wetu kumbe ni uwezo wetu mdogo wakujua dunia yaendeshwaje. Hizi democrazy hata USA hazifanyi kazi, katika chaguzi zao kura ya mwananchi wa kawaida ila uzito gani ukilinganisha na wale masenator>?